Na hasara kama hii huwezi kukuta waandishi wa habari wa Tanzania au vyombo vya habari waliifanyia uchambuzi wao wako busy kucheza na script za Msigwa na kutuma ndege tupu kusafiri maelfu ya miles kufuata timu ya mpira.Nyie si mnatuambiaga siku zote Serikali haina hasara..
Hii hasara uliyoitaja hapa umeipata wapi?..