Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
Wana JF Wasalaam Aleykhum!
Kuna habari miongoni wa Wanawake hasa wenye uwezo wa Kiuchumi kwamba wao hawapendi kuzaa kwa njia ya asili ili kuepuka maumvivu na uchungu wa uzazi. Pia wakizaa kwa njia ya upasuaji, wanadai kuwa maumbo yao yanaendelea kuwa "Bomba".
Lakini wengine wanapingana na hilo na kuwa kuzaa kwa "Mkasi" kunamfanya mama asijue thamani ya mtoto kupitia uchungu wa mwana na hivyo kumwondolea upendo. Kwa mtazamo wao uzazi wa namna hiyo "Mkasi" uwe ni kwa wale tu walio katika hatari kuwa wakizaa kwa njia ya kawaida wanaweza kupoteza maisha.
Wadau, hii chaguo mbili zimekaaje?
Kuna habari miongoni wa Wanawake hasa wenye uwezo wa Kiuchumi kwamba wao hawapendi kuzaa kwa njia ya asili ili kuepuka maumvivu na uchungu wa uzazi. Pia wakizaa kwa njia ya upasuaji, wanadai kuwa maumbo yao yanaendelea kuwa "Bomba".
Lakini wengine wanapingana na hilo na kuwa kuzaa kwa "Mkasi" kunamfanya mama asijue thamani ya mtoto kupitia uchungu wa mwana na hivyo kumwondolea upendo. Kwa mtazamo wao uzazi wa namna hiyo "Mkasi" uwe ni kwa wale tu walio katika hatari kuwa wakizaa kwa njia ya kawaida wanaweza kupoteza maisha.
Wadau, hii chaguo mbili zimekaaje?