Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,505
- 108,875
All in all earlier is better, inapendeza unapofikisha miaka 50 na mtoto/ watoto wako anakuwa amemaliza Degree yake. tusidanganyane kwenye hili kuchelewa kuzaa kunasababishwa na matatizo mchanganyiko ya kimaisha lakini si matakwa yetu binadamu.