........Hivi mtu unapozaa after 40, tena mtoto wa kwanza unapata kwenye umri huo unafikiri nini?
Siku hizi baadhi ya wanawake kwa wanaume wanapata mtoto kwenye 40 au zaidi ya hapo.......je hawa watu hawafikiri baada ya miaka 15-20 si watakuwa wameezeka? Huyo mtoto si atakuwa kama mjukuu!! Vile vile kwenye umri huo utakuwa umestaafu.......utaleaje huyo mtoto, kama huna hata saving utasomeshaje huyo mtoto ili aje kuwa maisha bora?
Najiuliza tu!!
........Hivi mtu unapozaa after 40, tena mtoto wa kwanza unapata kwenye umri huo unafikiri nini?
Siku hizi baadhi ya wanawake kwa wanaume wanapata mtoto kwenye 40 au zaidi ya hapo.......je hawa watu hawafikiri baada ya miaka 15-20 si watakuwa wameezeka? Huyo mtoto si atakuwa kama mjukuu!! Vile vile kwenye umri huo utakuwa umestaafu.......utaleaje huyo mtoto, kama huna hata saving utasomeshaje huyo mtoto ili aje kuwa maisha bora?
Najiuliza tu!!
Ibrahim alikuwa anamlipia school fees motto wake pesa kiasi gani? He alimkatia bima ya afya?Ibrahim alimpata Isaac akiwa mzee
Ibrahim alikuwa anamlipia school fees motto wake pesa kiasi gani? He alimkatia bima ya afya?
Wewe huna akili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh!Sidhani kama umri ni shida kila mtu apambane na hali yake tu unaweza kuwahi ikawa shida pia.
Mada nzuri hii, tuliochelewa kupata watoto kweli ni mtihani. Japo at 40 pia sitaki kabisa kufikiria uzazi. Kwa mwanaume ukianza kuwatafuta at 25 hadi 39 ni safi kabisa, kwa mwanamke asizidi 35.
Ukizaa wakati una 40+ hakikisha tu una mali za kutosha. Hakuna ubaya wala nini
Sent using Jamii Forums mobile app
Una watoto wangapi mkuu?Kila mtoto huna na rizki yake
Zaeni mkaongezeke na mkaijaze dunia na kutawala ndege na samaki