Kama nisingekuwepo,na nafasi yangu isingekuwepo
Na kama nafasi yangu isingekuwepo,basi isingechukuliwa na mtu yoyote kwasababu haipo
Hili swali ni 'self defeating',lina jipinga lenyewe
Kama nisingekuwepo,nisingekuwa popote
Hali ya 'kutokuwepo',ni sawa na kipindi ulichopitia kabla hujazaliwa
Kwani ww,kabla hujazaliwa ulikuwa unajisikiaje?