Kuweni makini na wake zenu jamani

Sasa mkuu tulio oa tuwe makini kwa kufanya nini tuwafunge kamba wake zetu au tupe mbinu mkuu
 
Naona wewe ulikua na Ibada ya deliverance halo. Hongera, ametoa sadaka?
 
😂 umenikumbusha, miaka miwili iliyopita nilikutana Lodge uso kwa uso na Dada mmoja mke wa mtu anafanya kazi Vodashop ya Mlimani city, mwenyeji wa kanda ya ziwa.

Sisi tunatoka yeye anaingia na kijana, aliinamisha kichwa kwa aibu sana, sijui hata matusi kama yalifanyika huko!. hakutegemea kukutana na mtu anayemfahamu vizuri kwenye lodge ile iliyojificha sana katikati ya Goba na Mbezi mwisho. na pale shop alihama
 
Kunywa maji mengi.....

Mume anagonga micheps...vibinti vibiiichiiiiii

Na mke anafurahi na serengeti wake!!!

Tatizo liko wapi?

Kila.mtu si anatumia kifanyio chake kupata raha na utamu wa ziada!!!!

Kwanza unajua utamu wa penzi jipya weye????
 
Back
Top Bottom