Akiwa na hulka ya "KUKITOA HOVYO"...haijalishi unawajibika vipi kwake....Habarini wana jamvi. Naamini mko salama kabisa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale.
Naandika uzi huu kuwakumbusha tu muishi
🤣🤣Nyie ndo mnachapa wake zetu afu ngebe kibao
Yeye anadhani kamuache mkewe home, kumbe kuna mkulungwa anamla mahaliAisee ndoa zina mambo jama
Si ajabu na wewe hapo ulienda kugegeda mke wa mtu huku mkeo umemuacha home
Habarini wana jamvi. Naamini mko salama kabisa na poleni na mihangaiko ya hapa na pale.