Mimi ni mjasilia mali nafanya biashara ya kuweka na kutoa pesa I.e Tigo pesa,M-pesa,airtel money
Leo amekuja mtu ametaka toa pesa 3k nimemtolea baada ya sms kuingia kwenye simu yangu na salio kuongezeka lakini baadae nikagundua nimepigwa !!!nikawapigia tigo kuwaeleza kwamba sms imeingia kutoka tigo pesa wakasema hii haikutoka kwao baada ya kuichunguza sms nikaona center # inaanzia +46707990020
Chakushangaza namba yangu aliijuaje? Hadi sms kunifikia?
Naomba wezangu muwe makini lakini bado sina imani na baadhi ya wafanyakazi wa tigo kwa namna moja lazima watakuwa wanausika ,hamna anayeweza kujua salio lililopo kwenye simu!!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Leo amekuja mtu ametaka toa pesa 3k nimemtolea baada ya sms kuingia kwenye simu yangu na salio kuongezeka lakini baadae nikagundua nimepigwa !!!nikawapigia tigo kuwaeleza kwamba sms imeingia kutoka tigo pesa wakasema hii haikutoka kwao baada ya kuichunguza sms nikaona center # inaanzia +46707990020
Chakushangaza namba yangu aliijuaje? Hadi sms kunifikia?
Naomba wezangu muwe makini lakini bado sina imani na baadhi ya wafanyakazi wa tigo kwa namna moja lazima watakuwa wanausika ,hamna anayeweza kujua salio lililopo kwenye simu!!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums