Mkurupukaji tu huyo....
Hajui kusoma upepo..angetuliza kichwa akajiunga CHADEMA...akagombea Ubunge-Jimbo la Ilemela-Mwanza,wakati wowote alikuwa anashinda tena kwa kishindo.
Msaada na Utetezi, wake wa Kisheria kwa makundi mbali mbali ya Kijamii aliokuwa anautoa..Ulikuwa umeanza kuzungumziwa sana kwenye vijiwe na viunga vya Jimbo hilo lenye maamuzi tasa,ki Siasa.
Na Jimbo hilo lilivyo na makundi tofauti tofauti ya Kijamii yanayosigana mara kwa mara na vyombo vya Dola(Wavuvi,Wamachinga,Mama Ntile,Wanawake-Barmaids-Dada Poa nk.).Kwa Mwelekeo wake huo, alionyesha ku 'FIT IN'.
-Msimamo.wa -'No Reforns No Election'- akashindwa kuendana nao..Akayumba.
Kwa sasa haeleweki kama ni MNYAMA au NDEGE..amekuwa POPO