Kuweni Makini na Madeleka

Kuweni Makini na Madeleka

Tujifunze kuheshimu watu wanaojitokeza waziwazi kusema misimamo yao tena ya kupinga serikali uaji kama hii, hata kama hatuwapendi, chukua points chambua baki na kinachokufaa vingine tupa.

Kwa hali ya sasa mtz kusimama na kuzungumza kama huyu jamaa ni sawa na kulalia mtutu wa bunduki wenye risasi zilizokokiwa kabisa! Tuwaheshimu sana na sio rahisi kama kuandika hapa na tukitumia majina fichwa
Siyo bosheni kweli!?(Msemo wa Vijana wa kisasa)?

Kwamba anakuwa anatuchota tu akili kimtinfo huo?!
 
Back
Top Bottom