Sarafu moja Bitcoin ni tsh25,000,000+ unazo?naomba msaada naona unajua mengi kuhusu bitcoin nilikuwa nataka nijue hii biashara nikiwekeza pesa yangu kwenye mfumo wa bitcoin inapanda kwa kipindi cha miezi mingapi na faida inakuw asilimia ngapi kwa kiasi ulichowekeza
Msaada wakuu nataka kujua wallet ambayo mtanzania anaweza kujiunga kirahisi
Leo hii 1 BTC inasoma more than $100,000Leo iko 5183usd
Leo hii 1 BTC = 270, 000, 000+ TZS?
Daaah ukitoboa sarafu tank, uko mbeleeLeo hii 1 BTC = 270, 000, 000+ TZS?
Najiuliza watamonitor vipi kwa sababu cryptocurrency transactions are not meant to be centralized or monitored, they are p2p.China wameishaipiga marufuku tayari.Russia nayo iko mbioni kufunga mitandao yote inayojihusisha na biashara hiyo.
Kwa wale waliowekeza huko ni vizuri wawe makini wasiache ela yao nyingi huko maana inaweza kula kwao.
UPDATE
Russia wamekubariana watengeneze mfumo wa ku monitor cryptocurrence, hivyo basi hawataifunga bali watakuwa wanamonitor kila kitu kuzia udanganyifu na kutumika katika shughuli haramu