Sarafu moja Bitcoin ni tsh25,000,000+ unazo?naomba msaada naona unajua mengi kuhusu bitcoin nilikuwa nataka nijue hii biashara nikiwekeza pesa yangu kwenye mfumo wa bitcoin inapanda kwa kipindi cha miezi mingapi na faida inakuw asilimia ngapi kwa kiasi ulichowekeza
Msaada wakuu nataka kujua wallet ambayo mtanzania anaweza kujiunga kirahisi