Kuwen makini!

15yrs kwene ndoa ingekuwa nikutokea ningelikuwa nishakumbana nayo tena sana lakn hadi leo hii sina mda ilimradi nkataka mbususu akanipa tena yote tukaridhika wote ya nin nimchunge ndugu yangu.
 
Hata mimi ningetafuta alternative, kama mume kanisapoti means inawezekana!
Kuna story sijui niliisikia wapi, sijui ni humu au kwenye vikao vyetu vya jioni wanaume.

Jamaa alipanga fumanizi na mkewe wapate ela halafu mhusika akabadili lodge akaingia hotel ya pembeni ina ulinzi.

Mke katuma sms ya mabadiliko ya location jamaa kufika pale reception wakagoma wanataka aseme room number wapige simu mhusika ashuke maana hawataki kelele.

Baada ya 20min mke kashuka anaulizwa dk zote hizo kwanini hujatoka anadai walikuwa wanamsubiri ndo waanze ili awafumanie ila amechelewa so kaamua aondoke tu hivyo hivyo, mume hamuelewi.
 
15yrs kwene ndoa ingekuwa nikutokea ningelikuwa nishakumbana nayo tena sana lakn hadi leo hii sina mda ilimradi nkataka mbususu akanipa tena yote tukaridhika wote ya nin nimchunge ndugu yangu.
Sijasema atafanya mkuu, ni angalizo tu usirudie naye hiyo michezo tena maana kuna ajali.
 
Sijasema atafanya mkuu, ni angalizo tu usirudie naye hiyo michezo tena maana kuna ajali.
sio tusi ila ni msemo/kauli ya ukweli "mwanamke ni sawa na kuku/bata/nguruwe ukiwachunguza hutakula nyama yao na ilivyo tamu ndugu yangu
 
Jiwee limemfika mlengwaa😆 ila jf kuna raha sana, kama ukiwa observer
 
sio tusi ila ni msemo/kauli ya ukweli "mwanamke ni sawa na kuku/bata/nguruwe ukiwachunguza hutakula nyama yao na ilivyo tamu ndugu yangu
Hahaha
 
Bibiee....!! Seran Malizia Kuwatusi Tusepe,,Siku Ingine Tena Kama Wakitibua,,Kama Hutojali Lakini...
 
ignore them
 
hii reply asiione Yoda au yule tajiri kibonge maan kesho tu atafungua uzi kuwasema wadada walojiajiri wanadanga ili wapate pesa ya kulipia ya frame 😅😅😅
🤣🤣🤣🤣🤣 vyovyote sawa wakimaliza wanichangie na kodi basi kupunguza wadangaji nchini 😭
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…