Kuweka ukomo uingizaji gari bandarini si sawa

Kuweka ukomo uingizaji gari bandarini si sawa

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,556
Nimemsikia Waziri mkuu akiongea majuzi hapa kuwa walisha amua toka bungeni kuwa gari zilizotengenezwa nyuma ya mwaka 2010 zisiingie nchini.

Tungeomba bunge letu na serikali kupitia tena kulitazama jambo hili ki undani vinginevyo sie wanyonge hatutokuja agiza gari toka nje hadi dunia hii inaisha nchi yetu bado tuko nyuma sana kiuchumi na kimaendeleo.

Watanzania tulio wengi tunaishi katika hali duni kimaisha,hizo gari za miaka ya karibuni bei zake ni juu na mwananchi mimi sina msamaha wa kodi kama ilivyo kwa mbunge.sijajua hili liliwekwa kwa lengo gani.

Vijijini bado hali za usafiri ni tete ..wananchi wachache sehemu nyingine bado wanatumia punda kwa usafiri wao,wagonjwa,maji na mizigo...huko nje unazawadiwa Land lover 109 model ya 1984. Unashindwa kuichukua kwa katazo hili...pengine gari kama hili..gumu,imara madhubuti lingesaidia sana kule kijijini kwetu ndani katika kuhudumia wagonjwa,mazao ya kilimo na pembejeo nk.

Kwa ujumla zuio hili linatuumiza mno sisi watu wa hali ya chini na kufubàza maendeleo..

Tuwaombe wabunge msomapo jumbe kama hii hebu jengeni hoja bungeni kuondoa zuio hili ikiwa pamoja na kushusha ushuru wa magari ili kuwe na uwiano mzuri wa kodi kati ya pesa ya manunuzi ya gari na ushuru tukumbuke gari si chombo cha anasa bali ni nyenzo muhimu ya maendeleo!

Magari yakiongezeka hadi vijijini kutachagiza maendeleo ya nchi kwa ujumla wake..tuombe wabunge litazamwe upya jambo hili.pamoja na ushuru wa magari.

Nawasilisha.
 
Hawa mpaka siku wakitolewa madarakani ndipo akili zitawarudia,sasahivi hawawezi kuelewa hilo,maana anakula na kulala bure,analindwa,akiagiza gari hakatwi kodi kwahio anaropoka lolote tu lililoko kichwani mwake.

Ukiangalia gari zinazofanya kazi huko vijijini ni Landrover na mabasi ya kizamani sana ambako barabara ni mbovu,leo gari ya 2010 Mtanzania anawezaje kununua?

Mbaya zaidi ukinunua gari yako na serikali nayo unainunulia gari nyingine kupitia kodi kubwa wanazotoza.

Kama wana nia ya dhati kwenye hilo wapunguze kabisa kodi ili watu wengi waweze kununua gari halafu wao wanufaike na hizo gari kupitia kodi kwenye mafuta.
 
Waziri mkuu kaongea kitu kizuri sana. Ingekuwa vizuri angepiga marufuku kabisa kuagiza gari used. Hapa tulitakiwa kuagiza magari mapya tu.
 
Nimemsikia Waziri mkuu akiongea majuzi hapa kuwa walisha amua toka bungeni kuwa gari zilizotengenezwa nyuma ya mwaka 2010 zisiingie nchini.

Tungeomba bunge letu na serikali kupitia tena kulitazama jambo hili ki undani vinginevyo sie wanyonge hatutokuja agiza gari toka nje hadi dunia hii inaisha nchi yetu bado tuko nyuma sana kiuchumi na kimaendeleo.

Watanzania tulio wengi tunaishi katika hali duni kimaisha,hizo gari za miaka ya karibuni bei zake ni juu na mwananchi mimi sina msamaha wa kodi kama ilivyo kwa mbunge.sijajua hili liliwekwa kwa lengo gani.

Vijijini bado hali za usafiri ni tete ..wananchi wachache sehemu nyingine bado wanatumia punda kwa usafiri wao,wagonjwa,maji na mizigo...huko nje unazawadiwa Land lover 109 model ya 1984. Unashindwa kuichukua kwa katazo hili...pengine gari kama hili..gumu,imara madhubuti lingesaidia sana kule kijijini kwetu ndani katika kuhudumia wagonjwa,mazao ya kilimo na pembejeo nk.

Kwa ujumla zuio hili linatuumiza mno sisi watu wa hali ya chini na kufubàza maendeleo..

Tuwaombe wabunge msomapo jumbe kama hii hebu jengeni hoja bungeni kuondoa zuio hili ikiwa pamoja na kushusha ushuru wa magari ili kuwe na uwiano mzuri wa kodi kati ya pesa ya manunuzi ya gari na ushuru tukumbuke gari si chombo cha anasa bali ni nyenzo muhimu ya maendeleo!

Magari yakiongezeka hadi vijijini kutachagiza maendeleo ya nchi kwa ujumla wake..tuombe wabunge litazamwe upya jambo hili.pamoja na ushuru wa magari.

Nawasilisha.
Cha msingi serikali ipunguze ushuru hata kwa asilimia 40 ili watu wengi wanunue magari na hatimaye serikali ipate pesa kupitia ushuru.Kuwa na gari ni sehemu ya maendeleo.
 
Nimemsikia Waziri mkuu akiongea majuzi hapa kuwa walisha amua toka bungeni kuwa gari zilizotengenezwa nyuma ya mwaka 2010 zisiingie nchini.

Tungeomba bunge letu na serikali kupitia tena kulitazama jambo hili ki undani vinginevyo sie wanyonge hatutokuja agiza gari toka nje hadi dunia hii inaisha nchi yetu bado tuko nyuma sana kiuchumi na kimaendeleo.

Watanzania tulio wengi tunaishi katika hali duni kimaisha,hizo gari za miaka ya karibuni bei zake ni juu na mwananchi mimi sina msamaha wa kodi kama ilivyo kwa mbunge.sijajua hili liliwekwa kwa lengo gani.

Vijijini bado hali za usafiri ni tete ..wananchi wachache sehemu nyingine bado wanatumia punda kwa usafiri wao,wagonjwa,maji na mizigo...huko nje unazawadiwa Land lover 109 model ya 1984. Unashindwa kuichukua kwa katazo hili...pengine gari kama hili..gumu,imara madhubuti lingesaidia sana kule kijijini kwetu ndani katika kuhudumia wagonjwa,mazao ya kilimo na pembejeo nk.

Kwa ujumla zuio hili linatuumiza mno sisi watu wa hali ya chini na kufubàza maendeleo..

Tuwaombe wabunge msomapo jumbe kama hii hebu jengeni hoja bungeni kuondoa zuio hili ikiwa pamoja na kushusha ushuru wa magari ili kuwe na uwiano mzuri wa kodi kati ya pesa ya manunuzi ya gari na ushuru tukumbuke gari si chombo cha anasa bali ni nyenzo muhimu ya maendeleo!

Magari yakiongezeka hadi vijijini kutachagiza maendeleo ya nchi kwa ujumla wake..tuombe wabunge litazamwe upya jambo hili.pamoja na ushuru wa magari.

Nawasilisha.
Mi naona hili katazo liendelee Ila magari ya bei ndogo yafutwe Kodi kabisa. Mfano IST ya 2020-2022 isiwe inalipiwa ushuru kabisa.
 
Hatuwezi kubali kugeuzwa jalala la Scraper kwa sababu ya shida zetu,Muhimu wapunguze kodi...Siungi mkono nchi hii kuwa jalala.
 
Nimemsikia Waziri mkuu akiongea majuzi hapa kuwa walisha amua toka bungeni kuwa gari zilizotengenezwa nyuma ya mwaka 2010 zisiingie nchini.

Tungeomba bunge letu na serikali kupitia tena kulitazama jambo hili ki undani vinginevyo sie wanyonge hatutokuja agiza gari toka nje hadi dunia hii inaisha nchi yetu bado tuko nyuma sana kiuchumi na kimaendeleo.

Watanzania tulio wengi tunaishi katika hali duni kimaisha,hizo gari za miaka ya karibuni bei zake ni juu na mwananchi mimi sina msamaha wa kodi kama ilivyo kwa mbunge.sijajua hili liliwekwa kwa lengo gani.

Vijijini bado hali za usafiri ni tete ..wananchi wachache sehemu nyingine bado wanatumia punda kwa usafiri wao,wagonjwa,maji na mizigo...huko nje unazawadiwa Land lover 109 model ya 1984. Unashindwa kuichukua kwa katazo hili...pengine gari kama hili..gumu,imara madhubuti lingesaidia sana kule kijijini kwetu ndani katika kuhudumia wagonjwa,mazao ya kilimo na pembejeo nk.

Kwa ujumla zuio hili linatuumiza mno sisi watu wa hali ya chini na kufubàza maendeleo..

Tuwaombe wabunge msomapo jumbe kama hii hebu jengeni hoja bungeni kuondoa zuio hili ikiwa pamoja na kushusha ushuru wa magari ili kuwe na uwiano mzuri wa kodi kati ya pesa ya manunuzi ya gari na ushuru tukumbuke gari si chombo cha anasa bali ni nyenzo muhimu ya maendeleo!

Magari yakiongezeka hadi vijijini kutachagiza maendeleo ya nchi kwa ujumla wake..tuombe wabunge litazamwe upya jambo hili.pamoja na ushuru wa magari.

Nawasilisha.
Wayazuie na yanayotembea humu nchini ili barabarani yabaki yaliyotengenezwa kuanzia 2010 hadi sasa !!
 
Cha msingi serikali ipunguze ushuru hata kwa asilimia 40 ili watu wengi wanunue magari na hatimaye serikali ipate pesa kupitia ushuru.Kuwa na gari ni sehemu ya maendeleo.
Mkuu hii TZ hatujui tunataka nini.
Miundombinu bado ni tatizo kuu hapa tz
Sasa badala ya kujiimarisha na miundombinu kwanza
Tunakuja na blabla
 
Ataelewa ukali wa maisha wanayoishi watanzania akiondoka kwenye hiyo nafasi
Tena ilibidi mama amwage ili akili imkae sawasawa
 
Ombi langu wafanye utafiti kwanza kujua yafuatayo:
1. Ni magari yapi(ya miaka ipi) yanayo tumika kwa wingi kuchangia uchumi kwa ujumla hasa jamii
Fuso 1984, Dala Dala Hiace 1996, Nissan civilian zote zilizojaa Dar , mwz nchi nzima hakuna ya 2005 ukiipata leta nikupe zawadi, Pickups TOYOACE,

2. Ni magari yapi ya miaka gani yenye vipuri, magereji na mafundi kwa wingi na kudumu ktk mazingira yetu ya barabara mbovu

3. Purchasing Power Uchumi wa jamii yetu una uwezo wa kununua na kuya maintain (value for moneny) magari yapi (model za miaka gani)

4. 'KUDUMU; ni model za miaka gani na kwa mazingira yetu zinadumu muda mrefu ?

5. MAPATO YA SERIKARI: Ni magari yapi yanayoingizwa kwa wingi na kuchangia pato la taifa kupitia ushuru

6. Ni nini hasa maana ya Dampo ? iwapo gari la 2020 kila kitu 50%ni Electronics na mafundi hatuna
Dealers workshops hakuna, Vyuo kwa mafundi wa magari hayo hakuna inadumu only 4 yrs linakufa Kulinganisha gari la 1984 Scania 113 full manual , full mechanics mafundi, spare tele inadumu 40yrs ? ?

7. NI nini Dampo ? ? mitumba ya nguo tena yenye madhara ya kiafya magonjwa ya ngozi
TUMESHINDWA KUIZUIA kwa nini hilo gari linalo msafirisha huyu mwanakijiji mvaa mituma ulizuie
Atembee kwa miguu ?(mvaa mitumba hawezi kupata nauli ya gari la 2010 tusidanganyane)

8. MAKAMPUNI MAKUBWA YANANUNUA HAYO MAGARI YA ZAMANI 1990 Kurudi chini
Mfano tu makampuni ya vinywaji baridi fatilia,, KWA nini they look for "VALUE FOR MONEY"

9. Dampo sio rahisi hivyo ! ! ! chuma chakavu ni adimu sana kwa sasa,, Why ni raw material ya Nondo, na baadhi ya parts za hayo hayo magari, Bado tuna export kwenda nje ya nchi mfano ma block ya engine (cast iron) alluminiam n.k kila kukicha meli zinapakia kwenda india,,
Ni wapi ndg yangu ulikuta kuna dampo la magari chakavu ? tofauti na plastic ?


NAWAOMBA SANA NA KUWASUHI NA BAHATI NZURI TUNACHO CHUO CHA MAMBO HAYA
TUFANYE UTAFITI KWANZA
 
Majaliwa Kakurupuka hajui alichoongea, huko kwenyewe kwenye nchi zilizoendelea magari mbali zaidi ya 2010 yapo barabarani. Hakufanya utafiti kakurupuka kama kawaida ya wanasiasa wa bongo uwa wanawaza kwa makalio. Watanzania wangapi wana uwezo wa kununua magari ya 2010 na kuendelea??? hovyoo kabisa huyu PM.
 
Back
Top Bottom