Kuweka Pamba kwenye miti ya krismasi

Simple

JF-Expert Member
Feb 6, 2009
249
121
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.

Krismasi njema wana JF.
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.

Krismasi njema wana JF.
KWA HIYO HOJA YAKO NI NINI SASA?
brainwashing?
chrismass?
pamba?

hueleweki!kwa hii thread peke yake unaonekana BRAIN-WASHED
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.

Krismasi njema wana JF.

sasa hizo brainwashing unazozizungumza ni nini, kama ni pombe, shopping, pilau la siku moja ni sikukuu zote iwe Iddi, maulidi, pasaka sasa hapa tatizo ni nini,

kwa kuweka pamba kwenye hiyo miti we kinakuuma nini kama hauna imani na hivyo vitu?

hebu kuwa wazi tukuelewe misimamo yako
 
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.

Krismasi njema wana JF.

Haulewi msingi wa X-mass, au hauelewi kwa nini watu wanaweka pamba( jibu umeshalisema) au hutaki watu watumie pamba a

Kama haujui lengo la sherehe tutakusaidia.Ila kama unalaumu kwa nini pamba zinatumika, hilo ni swala lingine katika mengi sana tuliyorithi kutoka kwa waleta hizi dini, sidhani kama kuna dini hapa Tz iliyokosa athari za kitamaduni.

wazee wetu walivaa vibwaya tu(unazima mbele na nyuma sehemu za siri, leo hii tunavaa nguo tulizoiga kutoka kwa wageni(hata wewe humo) sasa ukija kwenye kwa nini tunaiga, jibu lake haliishii kwenye miti ya pamba, karibu kila kitu tumeigam kuanzia tamaduni, elimu, teknolojia,mavazi, etc. Hili la pamba ni dogo mno na maskini kwa Tz tunasherehekea siku mbili tu, wakati wenzetu mwezi wote wa 12 ni X-mass.

Life is short cherish it,ili mradi haumuathiri mtu!
 
Back
Top Bottom