Simple
JF-Expert Member
- Feb 6, 2009
- 249
- 121
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.
Krismasi njema wana JF.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa watoto, na pilau la siku moja, tunafika mpaka kuweka pamba kwenye miti ya krismasi ili mazingara yetu yafanane na yale ya snow za magharibi.
Brain washing kama hizi tunazaliwa nazo,,tunakua nazo na kuzipitisha kwa watoto wetu bila kujiuliza kimsingi nini lengo la sherehe nzima.
Krismasi njema wana JF.