decomm
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 726
- 657
Habari?
Kutokana na hali ilivyo sasa ya teknolojia ya habari na mawasiliano, nashauri wahusika waweke somo la UANDISHI WA HABARI kwenye mitalaa (mitaala) kuanzia elimu ya Msingi angalau kwa kiwango fulani iwe ni LAZIMA kwa kila mwanafunzi afikie.
Hii itasaidia sana kwa watu wengi wanaotoa habari hususani kwa njia za mitandao kutokiuka maadili ya uandishi kwa kutokujuwa.
Nawaailisha.
Kutokana na hali ilivyo sasa ya teknolojia ya habari na mawasiliano, nashauri wahusika waweke somo la UANDISHI WA HABARI kwenye mitalaa (mitaala) kuanzia elimu ya Msingi angalau kwa kiwango fulani iwe ni LAZIMA kwa kila mwanafunzi afikie.
Hii itasaidia sana kwa watu wengi wanaotoa habari hususani kwa njia za mitandao kutokiuka maadili ya uandishi kwa kutokujuwa.
Nawaailisha.