Kuwaza mapenzi kila saa ni tatizo?

Kuwaza mapenzi kila saa ni tatizo?

Doh!
Nakuonea wivu sana mdogo wangu
 
Hivi mtu ukiwa unaweza mapenzi kila mda kila siku tatizo ni nini na hli tatizo limenianza sina mda mrefu sijui shida ni nini, naombeni ushauri wenu na pia kama kuna mtu anaelewa dawa yake pia anaweza kunisaidia.
Yawezekana hauna kazi ya kufanya,tafuta kazi ya kufanya uwe busy muda mwingi utaona kama utawaza mambo hayo,pole sana ila jiongeze.
 
Unawaza mapenzi au unawaza papuchi???[emoji30][emoji30][emoji30]........utakuwa ndo unabalehe!!
 
Back
Top Bottom