Kuwaunga mkono wanaounga mkono michezo si kutumika kisiasa

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
 
Taifa stars imecheza vizuri sana jana,

Imeimarika sana, karibu kila idara..

Hakuna kurudi nyuma tena, wala hakuna wakuturudisha nyuma.Ni kusonga mbele, kwa kasi zaid, ari zadi na nguvu zaidi...
 
Taifa stars imecheza vizuri sana jana,

Imeimarika sana, karibu kila idara..

Hakuna kurudi nyuma tena, wala hakuna wakuturudisha nyuma.Ni kusonga mbele, kwa kasi zaid, ari zadi na nguvu zaidi...

..wangecheza vizuri wasingeshindwa.

..labda kama tumeamua kama nchi kwamba tunashiriki mashindano kwa nia ya kushindwa na kufungwa.
 
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
Pashkuna katika ubora wako
 
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
WAZAZI WANA HASARA, SASA NA WEWE WANAJIHESABU WANA MTOTO KWELI?
 
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
Eti kwamba Samia ambae Kwa matendo yake amejitahidi sana kukuza michezo na sanaaa Sasa kwamba kuonesha appreciation imekuwa nongwa na ni kuleta siasa kwenye michezo? Upuuzi.

Kila mtu anaweza kuvaa bango analolitaka kama vile mashabiki wanavyovaa jezi za watu wao.
 
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
asante morocco
 
Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Kuna kitu naomba niweke sawa hapa kwamba tusianze kunyoosheana vidole wakati timu iliyotufunga ilikuwa bora na Wala hatuna sababu ya kuanza kusingizia eti mpira umechanganywa na siasa.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha Watanzania wenzangu poleni na matokeo ya jana lakini pia tujipongeze hata kidogo kwa kuendelea kuipa nguvu timu yetu ya taifa.

Ifike sehemu tukubali kwamba kuna hatua flani tumepiga hasa kwenye pitch tofauti na huko tulipotoka yaani kwa mechi ya jana pamoja na mapungufu yote yaliyoonekana.

Mnaosema sijui tumeanza kuchanganya siasa na mpira ni kutaka kukatisha tamaa baadhi ya watu ambao wamekuwa wakijitoa kwa Kila namna Ili soka letu lizidi kuvutia. Mfano GSM, Mo Dewji,Familia ya Bakhresa na wengine wengi wamekuwa wakitumia Kila njia Ili kukuza na kuendeleza mpira kwa ngazi ya vilabu lakini serikali nayo ikaona iongeze nguvu kwa kuongeza hamasa ya goli la mama,kukarabati viwanja lakini pia kurahisisha usafiri kwa kutoa ndege kwa vilabu na timu ya taifa, pia Yanga ilipewa bus la mashabiki na serikali wakati ule ipo inacheza na marumo kule Afrika kusini.

Mashabiki wanarudisha kwa wale wanaojjitoa kuwekeza kwenye mpira mfano mnaona ilivyo kwa Mo na GSM Kila siku wanaitwa vizuri na mashabiki ni kwasababu ya uwekezaji wao na ndivyo hivyo hata kwa serikali ya Mh Rais @samia_suluhu_hassan inavyoungwa mkono na mashabiki wa soka ni kwasababu ya mchango mkubwa unaotolewa na ushiriki wa Moja kwa moja na si kutumika kisiasa
Naisubiri Zambia itakapokuja kucheza na CCM Stars.
 
Back
Top Bottom