Kuwa na uwoga kwa uongozi ndio chanzo cha uongozi huo kutokuwa na uwajibikaji na uvunjifu wa katiba wazi wazi

Kuwa na uwoga kwa uongozi ndio chanzo cha uongozi huo kutokuwa na uwajibikaji na uvunjifu wa katiba wazi wazi

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Kuwa na uwoga kwa uongozi ndio chanzo cha uongozi huo kutokuwa na uwajibikaji na uvunjifu wa katiba wazi wazi.

Maneno haya nime yatafsiri kutoka kwa pole pole, katika uhalisia mtu anaweza kuwa kiongozi mbaya kutokana na mazingira anayo yaongoza, mfano samia amevunja katiba wazi wazi ya chama chake akijua hakuna wa kumfanya chochote kwasababu ya uwoga. nilisikia wajumbe wanampinga tu nje ya vikao sio kwenye vikao.

Hili ni tatizo kubwa tunapaswa kubadilika kimtizamo jinsi tunavyo mtizama kiongozi tuliye muweka lazima tuwe na uwezo wa kumuwajibisha inapobidi ili nchi inyooke anaweza kuja kutuuza.
 
Kuwa na uwoga kwa uongozi ndio chanzo cha uongozi huo kutokuwa na uwajibikaji na uvunjifu wa katiba wazi wazi.

Maneno haya nime yatafsiri kutoka kwa pole pole, katika uhalisia mtu anaweza kuwa kiongozi mbaya kutokana na mazingira anayo yaongoza, mfano samia amevunja katiba wazi wazi ya chama chake akijua hakuna wa kumfanya chochote kwasababu ya uwoga. nilisikia wajumbe wanampinga tu nje ya vikao sio kwenye vikao.

Hili ni tatizo kubwa tunapaswa kubadilika kimtizamo jinsi tunavyo mtizama kiongozi tuliye muweka lazima tuwe na uwezo wa kumuwajibisha inapobidi ili nchi inyooke anaweza kuja kutuuza.
Atuuze mara ngapi? Misitu, bandari, Ngorongoro, kodi, tozo familia chache zinatumbua zitakavyo.

Umeme, maji ji shida, teuzi za hovyo, kuiba chaguzi, kuwafunga, kuwabaka,kuwalawiti, kuwateka na kuwatesa wapinzani wake wote wenye nguvu ni ishara ya utawala wa kimafia uliokosa uhalali, ridhaa ya chama chao au Watanzania.

Upinzani, kukosoa, kuwa na maoni tofauti kiuhalisia umepigwa marufuku Tanzania.

Vyombo vyote vya habari, mitandao, inabidi wasifie wawe machawa.
 
Back
Top Bottom