Kuwa na furaha ndiyo amani yenyewe ya moyo

Kuwa na furaha ndiyo amani yenyewe ya moyo

Nikiona watu wangu wa karibu hasa wazazi wanafuraha napata amani ya moyo.

Pia nikiweza kuafford mambo nayoyataka bila kumbugudhi mtu nakuwa na amani tele.

Plus, hivi vitu vitatu nikipata nalala fofofo; mbususu tamu, chakula kitamu, na kibunda.
 
kama furaha ndio amani mkuu, Basi pesa haina uwezo wa kuleta amani, kama ni hivyo basi pesa haina uwezo wa kuleta furaha.

Kwako ukiwa na pesa unapata furaha, ni kwa sababu hizo pesa huna, ungekuwa nazo ungesema jambo lingine kabisa
 
Back
Top Bottom