Kuwa na demu mnene ni mzigo

Kuwa na demu mnene ni mzigo

[emoji445]Chi chi chibonge aaa chichi chichi chibonge[emoji445]

[emoji445]Ni minyama tu,akipita minyama tu[emoji445]

Mzee Zero Iq umeshindwa kuwadediketia haka kanyimbo??
Nashukuru kwa dedication yako mkuu
 
Aah nilimpata mmoja alikuwa mnene na ana figure ya uhakika, Siku aliyokuja ghetto sijui alikuwa ametoka kunya, na hajatawaza maana nilimpiga ile Chuma tembele au mbuzi kagoma wenyewe mnaita, kiufupi room iliharibika harufu mbaya Kama nina mzoga ghetto, stimu yoote ilikata
Haha hawa wanawake tuwaonee huruma jamani vingine tuvimezee tu
 
Hizo sifa ni zao kabisa hujaongeza chumvi, nakazia. Ila wanapenda ngono hatare.
 
--Kuoga wavivu,
--kupiga mswaki wavivu
--Kufua chupi zao wavivu
--kuvaa nguo vizuri ili wapendeze wavivu kila siku madera,

Aseee hawa viumbe hawa kudate nao yataka moyo sana.

Sitaki tena demu mnene wanatamanisha kwa nje tu ila ndani ni mizigooo.



Cc Zero IQ.
Ni mara mia mwanamke ndo awe mnene ila siyo mwanaume yaani mimi wanaume wanene ndo huwa siwaelewagi kabisa maana wengi wanakuwaga na matako makubwa utafikiri wanawake looh
 
--Kuoga wavivu,
--kupiga mswaki wavivu
--Kufua chupi zao wavivu
--kuvaa nguo vizuri ili wapendeze wavivu kila siku madera,
Aseee hawa viumbe hawa kudate nao yataka moyo sana.
Sitaki tena demu mnene wanatamanisha kwa nje tu ila ndani ni mizigooo.
Cc Zero IQ.
Yote tisa, kumi awe gogo kitandani. Hapo ndiyo utajua kuwa kusex ipo kwa ajili ya kutafuta mtoto tu na siyo starehe. Usiombe kukutana na mwanamke mnene halafu ni gogo kitandani. Utajuta kukutana naye
 
Isipokuwa kwenye kula hapa hawajambo
Kuna mmoja nilikuwa naye. Yeye anapiga chapati 4, juisi ya tunda ya buku na maji lita moja anamaliza. Mimi kula ni mvivu aise chapati mbili na juisi ya buku hapo nashiba na sidhani kama juisi nitaimaliza.
 
daaa! umenikumbusha siku moja nili mgegeda mmoja yalionikuta nika apa sito tongoza mwanamke mnene tenaaaaaaa..
 
Duh mbona baby mama wangu yupo freshi kabisa na kila nikiwaza kumsaliti naahirisha,
Yaani yeye anavyo vyote,tako,tumbo,mweupeeeee harafu hana makuu.
 
Back
Top Bottom