Kuwa makini na viwanja vya Bagamoyo

Senior Boss

JF-Expert Member
Aug 19, 2011
3,405
3,689
Wasalaaam wandugu, poleni sanaa na mihangaiko ya hapa na pale.

Back to Topic.

Ni hivi ukienda Bagamoyo kununua kiwanja au shamba, usikumbuke kwenda na hela zako pekee, bali pia kumbuka kwenda na AKILI ZAKO !! Bila ya hivyo UTABAMBIKIWA HIVI:-

1. SHAMBA AU KIWANJA FEKI.

2. MWENYEKITI wa Kijiji FEKI.

3. AFISA MTENDAJI wa Kijiji FEKI.

4. MUUZAJI wa Kiwanja/Shamba FEKI.

5. SHAHIDI FEKI.

6. JIRANI anayejifanya ndio anapakana na kiwanja au shamba unalouziwa, FEKI.

7. WATOTO FEKI - wataitwa kuchezacheza ili muuzaji aonekane ana familia na si mhuni.

8. MKE wa muuzaji, kwamba ataitwa kukusalimia - FEKI

9. NYARAKA FEKI

10. MIHURI FEKI

11. OFISI ya Kijiji FEKI - bendera ya taifa itawekwa nje ya ofisi kama boshen.

12. Siku ukigundua umeuziwa kiwanja cha mtu au shamba lililoko katika mradi wa EPZA, hao wahusika wote huwaoni na ndipo utagundua kuwa hata namba zao za simu ni FEKI.

Kuweni makini, kwani ukishapigwa hela zako za mkopo wa BAYPORT/CRDB/AMANA BANK/ACCESS BANK, PSPF, LAPF, PPF na nani mwingine sijui, fahamu kuwa vitisho vya Polisi au kuwaroga, havitasaidia. Hawa jamaa kwa jinsi walivyo smart,hutawapata kwa polisi na wala hawarogeki.

Nina mifano hai ndugu, jamaa na marafiki wahanga wa mabalaa haya.

NOW THAT YOU KNOW. KEEP THAT IN MIND.

Regards
Senior Boss.
 
Tunashukuru mkuu kwa taarifa ila mimi huwa sinunui Kiwanja au shamba bila kwenda kwenye ofisi za ardhi kuangalia usahihi wa taarifa na pia kwenda kwa mwanasheria
 
Tunashukuru mkuu kwa taarifa ila mimi huwa sinunui Kiwanja au shamba bila kwenda kwenye ofisi za ardhi kuangalia usahihi wa taarifa na pia kwenda kwa mwanasheria

Cc: RedDevil

Likewise. Cz watu wanafanya issue zao kwa siri wakishalizwa huko wanakuja kutusumbua ndugu na kuugulia kimya kimya. Mi naona nimeweka hapa na kwa faida ya wengine. Maana kero zishakua nyingi.

Muhimu ku verify ardhi kabla ya kuchukua hatua yoyote kubwa ili baadae ufaidi plot yako na kizazi chako.

Ahsante
 
Ukanda huo ni wa kisanii sana sijui, wanaofanya usanii huo wanataka kutuaminisha kuwa chuo cha sanaa kinafundisha hayo!? I do not believe
 
Wasalaaam wandugu, poleni sanaa na mihangaiko ya hapa na pale.

Back to Topic.

Ni hivi ukienda Bagamoyo kununua kiwanja au shamba, usikumbuke kwenda na hela zako pekee, bali pia kumbuka kwenda na AKILI ZAKO !! Bila ya hivyo UTABAMBIKIWA HIVI:-

1. SHAMBA AU KIWANJA FEKI.

2. MWENYEKITI wa Kijiji FEKI.

3. AFISA MTENDAJI wa Kijiji FEKI.

4. MUUZAJI wa Kiwanja/Shamba FEKI.

5. SHAHIDI FEKI.

6. JIRANI anayejifanya ndio anapakana na kiwanja au shamba unalouziwa, FEKI.

7. WATOTO FEKI - wataitwa kuchezacheza ili muuzaji aonekane ana familia na si mhuni.

8. MKE wa muuzaji, kwamba ataitwa kukusalimia - FEKI

9. NYARAKA FEKI

10. MIHURI FEKI

11. OFISI ya Kijiji FEKI - bendera ya taifa itawekwa nje ya ofisi kama boshen.

12. Siku ukigundua umeuziwa kiwanja cha mtu au shamba lililoko katika mradi wa EPZA, hao wahusika wote huwaoni na ndipo utagundua kuwa hata namba zao za simu ni FEKI.

Kuweni makini, kwani ukishapigwa hela zako za mkopo wa BAYPORT/CRDB/AMANA BANK/ACCESS BANK, PSPF, LAPF, PPF na nani mwingine sijui, fahamu kuwa vitisho vya Polisi au kuwaroga, havitasaidia. Hawa jamaa kwa jinsi walivyo smart,hutawapata kwa polisi na wala hawarogeki.

Nina mifano hai ndugu, jamaa na marafiki wahanga wa mabalaa haya.

NOW THAT YOU KNOW. KEEP THAT IN MIND.

Regards
Senior Boss.

Umenikumbsha kisa kimoja kuna watu walijifanya wamjini, wakakutana na Wasukuma wametoka mnadani kuuza ng'ombe na mafurushi ya pesa. Wakawauzia msikiti wa Wahindi!.

Mbona waliwatafuta wao wenyewe? Bila kuwa na Mungu binadamu hamwezi shetani. Shetani unamuweza kwa nguvu za Mungu tu!
 
Umenikumbsha kisa kimoja kuna watu walijifanya wamjini, wakakutana na Wasukuma wametoka mnadani kuuza ng'ombe na mafurushi ya pesa. Wakawauzia msikiti wa Wahindi!.

Mbona waliwatafuta wao wenyewe? Bila kuwa na Mungu binadamu hamwezi shetani. Shetani unamuweza kwa nguvu za Mungu tu!
Duuh

Hapo sijaelewa ni kwamba wasukuma hao walimuomba Mungu au walitumia miungu mingine ??
 
Wasalaaam wandugu, poleni sanaa na mihangaiko ya hapa na pale.

Back to Topic.

Ni hivi ukienda Bagamoyo kununua kiwanja au shamba, usikumbuke kwenda na hela zako pekee, bali pia kumbuka kwenda na AKILI ZAKO !! Bila ya hivyo UTABAMBIKIWA HIVI:-

1. SHAMBA AU KIWANJA FEKI.

2. MWENYEKITI wa Kijiji FEKI.

3. AFISA MTENDAJI wa Kijiji FEKI.

4. MUUZAJI wa Kiwanja/Shamba FEKI.

5. SHAHIDI FEKI.

6. JIRANI anayejifanya ndio anapakana na kiwanja au shamba unalouziwa, FEKI.

7. WATOTO FEKI - wataitwa kuchezacheza ili muuzaji aonekane ana familia na si mhuni.

8. MKE wa muuzaji, kwamba ataitwa kukusalimia - FEKI

9. NYARAKA FEKI

10. MIHURI FEKI

11. OFISI ya Kijiji FEKI - bendera ya taifa itawekwa nje ya ofisi kama boshen.

12. Siku ukigundua umeuziwa kiwanja cha mtu au shamba lililoko katika mradi wa EPZA, hao wahusika wote huwaoni na ndipo utagundua kuwa hata namba zao za simu ni FEKI.

Kuweni makini, kwani ukishapigwa hela zako za mkopo wa BAYPORT/CRDB/AMANA BANK/ACCESS BANK, PSPF, LAPF, PPF na nani mwingine sijui, fahamu kuwa vitisho vya Polisi au kuwaroga, havitasaidia. Hawa jamaa kwa jinsi walivyo smart,hutawapata kwa polisi na wala hawarogeki.

Nina mifano hai ndugu, jamaa na marafiki wahanga wa mabalaa haya.

NOW THAT YOU KNOW. KEEP THAT IN MIND.

Regards
Senior Boss.
Umesahau viwanja hewa vyenye hati feki na wahusika wakuu ni watu wa upimaji na ramani manispaa ya bagamoyo.
 
Mm mwaka jana nilipigwa kiwanja huko bagamoyo...nikakaa kimya sijamwambia ata mtu yeyete....nimekoma
Pole sana mkuu. Kikubwa ni kuacha pupa. Fata taratibu zote...ikiwezekana ongea na mwanasheria kwanza hata mazungumzo ya kirafiki tu. Mtu mwenye nia njema atakushauri vuzuri.
 
Back
Top Bottom