Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,221
- 50,171
Nami nimejiuliza hilo, laki 8 cash ni kibunda hasa na kwenye mfuko wa suruali/shati sidhani kama inatoshea.Mmmh kweli wizi upo, huyo mzee laki 8 aliweka kwenye mfuko wa shati??š¤
Nimewaza tu suruali ukikaa hakuna mtu aweza kuvuta kibunda chote hicho bila kuleta dhahama!
Everyday is Saturday............................... š
Labda kama aliishikilia na wakampumbaza kwa madawa yao
ile na mm Nampa gwara 