Kuwa makini ewe binti

Kuwa makini ewe binti

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Heshima kwenu..

Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.

Mengine utaongezea mwenyewe!
 
Sijawa na historia ya kutendwa
utafiti wako umefanyia wapi??.........na umezungumzia 1 side only,,,,,, na nyie ikiwa 30-40 mko blank tuwaitaje?? kuwa na fikra zinazoshabihiana na jinsia zote na maisha halisi......
 
sawa tumekuelewa...... kwahiyo umri huo huwaga ni wa revange????
 
Back
Top Bottom