umukagame
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,044
- 675
Heshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
