namlexink
JF-Expert Member
- Feb 16, 2012
- 1,434
- 945
Mimi hapa kama umeniona.... njoo tuyajenge, ila invoices za kila siku marufuku 😀 🙄ngoja nipate mmoja alafu ntaleta mrejesho
Mimi hapa kama umeniona.... njoo tuyajenge, ila invoices za kila siku marufuku 😀 🙄ngoja nipate mmoja alafu ntaleta mrejesho
Kwani ww ushakutana na wa dizain hiyo?Sawa
Hapana mkuuKwani ww ushakutana na wa dizain hiyo?
UMRI HUO UJUE UNAENDA KULALWA NA MUME WA MTU KAMA ULIKUWA HUJUIUsitudanganye,muda huo wanakuwa wameshamaliza ujana,wamejijenga kimaisha,kiuchumi angalau wamesimama binafsi habari za kuchumia juani am not interested at all nataka kimvulini ili nkifika nkusaidie kubaki kimvulini,sasa below dat age ndo kwanza wanasubiri ajira wengine watoto wa mama hawajui hata kulima wanangu watakula nini,au nitalea watotot wangapi, Mume wangu huko uliko piga kazi me nakuombea ukiwa vizuri tutakutana
unawaweza vipi?Its 100% true... ila hawa ndio type zangu
Mbona munasema muna taka hao eti ndo wametulia? Huku mukituponda wa 30 34 achen ugeu geu Don't Estimate a ManHeshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
hee unazifanyia nini?Teh! Nawaibiaga chupi zao kama munamachupi
hee unazifanyia nini?