Kuwa makini ewe binti

Kuwa makini ewe binti

Heshima kwenu..

Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.

Mengine utaongezea mwenyewe!
Huku ni kualibiana waziwazi, nani amekwambia uwabumbulue hawa viumbe? Umetumwa au!! Acha hizo bhana
 
Hao ndo ninaowataka mim.....
kwanza wanakuwa hawana utoto,ameshaachana na ujana, anajua what woman wants ,ameshajijenga kiuchumi.
My dear future popote ulipo mungu akuzidishie watoto wetu waje kufurahia maisha
 
Heshima kwenu..

Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.

Mengine utaongezea mwenyewe!
Posts zako bana mmmhhh...mara haya mapenzi, mwanaume gani, jinsi ya kumgegeda mke wa mtu....mmmhhh....
hebu nipm nikushauri.
 
Heshima kwenu..

Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.

Mengine utaongezea mwenyewe!
Ila wanajuaga kuhonga sana halafu hawanaga ile kugandana gandana kihiivyo.
 
Heshima kwenu..

Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.

Mengine utaongezea mwenyewe!
Unatuharibia sana, asa unataka kitonga ashuke nani mdau?? Waache waje tu huku ndio kuna mapenzi.
 
Back
Top Bottom