Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,501
ahahaa mimi sifanyi nao michezo ya chupiUkimpata njoo nitakupanga ufanyaje
ahahaa mimi sifanyi nao michezo ya chupiUkimpata njoo nitakupanga ufanyaje
Huku ni kualibiana waziwazi, nani amekwambia uwabumbulue hawa viumbe? Umetumwa au!! Acha hizo bhanaHeshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
Posts zako bana mmmhhh...mara haya mapenzi, mwanaume gani, jinsi ya kumgegeda mke wa mtu....mmmhhh....Heshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
Ila wanajuaga kuhonga sana halafu hawanaga ile kugandana gandana kihiivyo.Heshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!
dah hii imenigusa kweluna umri huo nini?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
rubii MUNGU anakuona ujue..Ukimpata njoo nitakupanga ufanyaje
Unatuharibia sana, asa unataka kitonga ashuke nani mdau?? Waache waje tu huku ndio kuna mapenzi.Heshima kwenu..
Napenda niseme jambo moja kuhusiana na hawa wanaume wenye umri kuanzia 35-40. Wallah ukikuta mwanaume wa hivi halafu hana mke, hana mchumba wala hayupo kwenye mahusiano waogope kama scopion. Walishatendwa, hawajui tena kupenda, hawajali yani wapo tayari kwa lolote kwenye mahusiano.
Mengine utaongezea mwenyewe!