Kuwa fundi kwa Computer Yako

Kuwa fundi kwa Computer Yako

Donking7

Senior Member
Joined
Mar 27, 2014
Posts
169
Reaction score
53
Eleza inkuwaje, he inawaka? Je inawaka na kuzima? Je inawaka alafu screen haioneshi?
Je unata link ya programs zote bureee
Je umechoka kununua antivirus?
Tuzungumze uipate Dunia ya technology bureeeee
 
Nataka kujifunza computer maintenance both hardware and software but the big deal ni kwamb naanzaje kujifunza, na ntatumia strategies gani, kiukweli naumiza sana kichwa. Mafundi wengi wamekuwa wakinibania kunipa ujuzi
 
Nataka kujifunza computer maintenance both hardware and software but the big deal ni kwamb naanzaje kujifunza, na ntatumia strategies gani, kiukweli naumiza sana kichwa. Mafundi wengi wamekuwa wakinibania kunipa ujuzi
Youtube
 
Nataka kujifunza computer maintenance both hardware and software but the big deal ni kwamb naanzaje kujifunza, na ntatumia strategies gani, kiukweli naumiza sana kichwa. Mafundi wengi wamekuwa wakinibania kunipa ujuzi
YouTube unajifunza kila kitu, kazi nyingi za kompyuta ni kupiga windo na kubadili ram,
 
Ukitumia YouTube kujifunza ufundi wa kompyuta nasi Kuwa makini sana na aina ya site unayopata mafunzo hapa ninamaana Kuna site wanaelekeza vitu lkn malengo Yao ni kukufanya uharibu Ili uwatafute. Wengine wanafundisha kwa taaluma ndogo na usipokuwa makini unaweza kujikuta unaharibu kifaa chako. Kama umepata mafunzo vyema basi ni vema uanze na kompyuta mbovu Ili iweze kupona au ya kwako mwenyewe, baada ya hapo unaweza kutengeneza za watu. Angalizo ukishaitwa fundi wa kompyuta fahamu Kuwa sio lazima Kila kompyuta utakayoletewa ipone. Ukishindwa sio lzm ung'ang'anie kukata nayo unaweza kumtafuta fundi mwenzako na mka share uzoefu. Kwa fundi anayejifunza kutengeneza kompyuta, kompyuta mbovu isyowaka inaamani sana kutengeneza kuliko inayowaka alafu ikazimia kwako.
Kubadili/kushusha windows katika computer ni kipengele kidogo sana ktk dhana ya ufundi wa kompyuta. Muhimu jitahidi kuzifahamu sehemu muhimu za compyuta na ufanyaji wake wa kazi. Pia jitahidi kujifunza Tabia za ubora au udhaifu wa vifaa vya kompyuta. Mfano kama kompyuta Haina RAM inakuwaje? Ikiwemo lkn ni mbovu inakuwaje? Je Nini maana ya baadhi ya milio ya kompyuta? Kwa Leo tuishie hapo
 
Ukitumia YouTube kujifunza ufundi wa kompyuta nasi Kuwa makini sana na aina ya site unayopata mafunzo hapa ninamaana Kuna site wanaelekeza vitu lkn malengo Yao ni kukufanya uharibu Ili uwatafute. Wengine wanafundisha kwa taaluma ndogo na usipokuwa makini unaweza kujikuta unaharibu kifaa chako. Kama umepata mafunzo vyema basi ni vema uanze na kompyuta mbovu Ili iweze kupona au ya kwako mwenyewe, baada ya hapo unaweza kutengeneza za watu. Angalizo ukishaitwa fundi wa kompyuta fahamu Kuwa sio lazima Kila kompyuta utakayoletewa ipone. Ukishindwa sio lzm ung'ang'anie kukata nayo unaweza kumtafuta fundi mwenzako na mka share uzoefu. Kwa fundi anayejifunza kutengeneza kompyuta, kompyuta mbovu isyowaka inaamani sana kutengeneza kuliko inayowaka alafu ikazimia kwako.
Kubadili/kushusha windows katika computer ni kipengele kidogo sana ktk dhana ya ufundi wa kompyuta. Muhimu jitahidi kuzifahamu sehemu muhimu za compyuta na ufanyaji wake wa kazi. Pia jitahidi kujifunza Tabia za ubora au udhaifu wa vifaa vya kompyuta. Mfano kama kompyuta Haina RAM inakuwaje? Ikiwemo lkn ni mbovu inakuwaje? Je Nini maana ya baadhi ya milio ya kompyuta? Kwa Leo tuishie hapo
Umeongea point, Bongo pia chamgamoto kubwa ni upatikanaji wa vifaa, mafundi wanakwama sababu vifaa vingi mpaka kuagiza nje na utasubiri miezi

Niliwahi kupata kompyuta imeharibu miguu ya processor socket LGA1155, socket ipo ali express lakini utaisubiri miezi miwili
 
Computer aina ya Fujitsu, switch button haieleweki,ukiweka kwenye Umeme switch on inawaka na mafeni yanazunguka huku ikipiga alarm hapa shida ni nini mkuu?
 
Back
Top Bottom