tanganyika yetu
Member
- Nov 23, 2011
- 45
- 17
Nakumbuka JK alivyokuwa anahutubia Bunge alisema atavunja Bunge leo tarehe 20.08.2015, naomba kujuzwa kama JK ameshalivunja Bunge na kama bado ni saa ngapi analivunja bunge.
duh huyuu huyu jkPole sana kama unaamini kauli za JK,alikuwa anasubiri kuona kama upepo wa Kisiasa utaenda vizuri kwa CCM then aje kuimba taarabu na kupiga vijembe Ukawa,kwa bahati mbaya upepo sio mzuri kwake na CCM yake kwa hiyo hataweza kuja tena Mjengoni maana sasa hivi muda unabana wa kuzunguka na mgombea wake kwenye misiba,kipaimara na send-Off.
Pole sana kama unaamini kauli za JK,alikuwa anasubiri kuona kama upepo wa Kisiasa utaenda vizuri kwa CCM then aje kuimba taarabu na kupiga vijembe Ukawa,kwa bahati mbaya upepo sio mzuri kwake na CCM yake kwa hiyo hataweza kuja tena Mjengoni maana sasa hivi muda unabana wa kuzunguka na mgombea wake kwenye misiba,kipaimara na send-Off.
weka hiyo habari na sisi tuione. otherwise hizi ni porojo.Nakumbuka JK alivyokuwa anahutubia Bunge alisema atavunja Bunge leo tarehe 20.08.2015, naomba kujuzwa kama JK ameshalivunja Bunge na kama bado ni saa ngapi analivunja bunge.
Nakumbuka JK alivyokuwa anahutubia Bunge alisema atavunja Bunge leo tarehe 20.08.2015, naomba kujuzwa kama JK ameshalivunja Bunge na kama bado ni saa ngapi analivunja bunge.
Huna namba ya mbunge wako?
Pole sana kama unaamini kauli za JK,alikuwa anasubiri kuona kama upepo wa Kisiasa utaenda vizuri kwa CCM then aje kuimba taarabu na kupiga vijembe Ukawa,kwa bahati mbaya upepo sio mzuri kwake na CCM yake kwa hiyo hataweza kuja tena Mjengoni maana sasa hivi muda unabana wa kuzunguka na mgombea wake kwenye misiba,kipaimara na send-Off.