mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Nakumbuka JK alivyokuwa anahutubia Bunge alisema atavunja Bunge leo tarehe 20.08.2015, naomba kujuzwa kama JK ameshalivunja Bunge na kama bado ni saa ngapi analivunja bunge.
Kwanza likizo yake anaianza lini manake namwona bado anazindua miradi kweli Urais mtamu.