Kuvua pichu pasipo kupenda

Kuvua pichu pasipo kupenda

umukagame

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2014
Posts
1,044
Reaction score
675
Shikamooni wakuu,
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu,
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labda ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zingine kabisa lakini nshashindwa
Wenzangu em nambieni kama kuna yeyote alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!!mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kweli sibadilishwi
 
Shkamoon wakuu
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labd ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zngne kabsa lakn nshashindwa
Wenzangu em nambien kama kuna yyte alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!!mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kwel cbadilishwi

Binti una majanga balaa
 
Naendelea kuperuzi notes zangu,n'tarudi kwa majibu....vumilia kidogo!
 
Shkamoon wakuu
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labd ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zngne kabsa lakn nshashindwa
Wenzangu em nambien kama kuna yyte alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!! mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kwel cbadilishwi

Ivi unategemea swali hilo ujibiwe kweli? Yaani atokee ke hapa aseme "mimi naweza [nilishawahi] kumvulia me pichu huku simpendi"?

Atakae jibu hivyo atakuwa kichaa!
Na usishangae ukiambiwa wao ni mabikira! Teh teh teh!

But in reality wanazivuaga sana tu kutokana kubalance kile wanachopokea!!!!
Na sikati kuamini mimi Mashaxizo na sura yangu kama ubale wa njugu nyasa wale wanaonivulia pichu yao wamenipenda!


Ushauri wangu kwako: MTAKA CHA UVUNGUNI...!
 
Ivi unategemea swali hilo ujibiwe kweli? Yaani atokee ke hapa aseme "mimi naweza [nilishawahi] kumvulia me pichu huku simpendi"?

Atakae jibu hivyo atakuwa kichaa!
Na usishangae ukiambiwa wao ni mabikira! Teh teh teh!
Miss chaga kanijibu vzr pia
 
Ivi unategemea swali hilo ujibiwe kweli? Yaani atokee ke hapa aseme "mimi naweza [nilishawahi] kumvulia me pichu huku di"?

Atakae jibu hivyo atakuwa kichaa!
Na usishangae ukiambiwa wao ni mabikira! Teh teh teh!
Hahahahaha mbna wanajibu
 
Ivi unategemea swali hilo ujibiwe kweli? Yaani atokee ke hapa aseme "mimi naweza [nilishawahi] kumvulia me pichu huku simpendi"?

Atakae jibu hivyo atakuwa kichaa!
Na usishangae ukiambiwa wao ni mabikira! Teh teh teh!

wewe kwa hiyo we ni kichaaaaaaa? jibu swali umkula wangapi hawakupendi?
 
kama umpendi uwezi mvulia pichu hata kama ana kitu nitamzungusha mpaka anachukia hiyo kitu na nikienda kwake nakuwa period that only

Akiomba samvu sasa inakuwaje utajiondoaje. Wengine ukienda hivyo wanajua mchezo wako ni enzi zile za sodoma utafanyaje sasa


Nitasema kweli daima
 
Shkamoon wakuu
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labd ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zngne kabsa lakn nshashindwa
Wenzangu em nambien kama kuna yyte alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!!mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kwel cbadilishwi

Mkurya wako Msabato hauna feeling naye au..?? Kwa hiyo unajishauri jinsi ya kumvulia chupi...!
 
kama umpendi uwezi mvulia pichu hata kama ana kitu nitamzungusha mpaka anachukia hiyo kitu na nikienda kwake nakuwa period that only

Miss Chaga usijizoee kufanya ivo,

Kuna Wanaume wengine Akili zetu tunazijua wenyewe,
Ukisha kula vyangu na Ukavuka Kizingiti cha Mlango tu kuingia chumbani

nitapiga hata 0717.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom