dah!kumbe mnajua!!sa mbona huwa mnawazodoa sana wanaotafuta msaada wa wachina!?yaani hii foleni nayo hata haisogei bana,akili yote umeipeleka nyumbani we lizy,duh!Huo nao ni urembo mwingine bibie.Alafu unakua huru kweli...ukiachilia kutoka bomba kama umejibeba!!Lolzz
No commenthata hivo kuna zile romantic naiti dress
mwanamama akivaa ni mvuto kwanza inahamasisha kupata kitandani
No commentKila kitu kina ladha yake jamani kuvuliwa nguo kuna raha na hamasa yake na kulala bila nguo pia kuna raha na hamasa yake. Ni nyie wawili tu mnavyojisikia. Unaeza ingia kitandani na nguo kama kawaida kashughuli kausiku unajikuta asubuhi mko watupu.....:hiyo imekaaje?
No comment
Dah!! Acha tu mimi huwa naangaliana na mbao za kitanda usiku hakuna cha night dress wala khangamkwe naona unakosa maneno pole..5 years to go eeh?
hata hivo kuna zile romantic naiti dress
mwanamama akivaa ni mvuto kwanza inahamasisha kupanda kitandani
dah!kumbe mnajua!!sa mbona huwa mnawazodoa sana wanaotafuta msaada wa wachina!?yaani hii foleni nayo hata haisogei bana,akili yote umeipeleka nyumbani we lizy,duh!
Dah!! Acha tu mimi huwa naangaliana na mbao za kitanda usiku hakuna cha night dress wala khanga
Yatakushinda!op2:
Ahaaa ahaaa sasa Lizzy unanipa pole badala ya walau kunisaidia kutatua hilo tatizoMaskini Fynest!Pole ehhh!
Sikujua naweza kusaidia...embu nidokeze HOW!Ahaaa ahaaa sasa Lizzy unanipa pole badala ya walau kunisaidia kutatua hilo tatizo
Dah!! Acha tu mimi huwa naangaliana na mbao za kitanda usiku hakuna cha night dress wala khanga
hehehehe dah! hakyanani lizzy ukifariki gharama zote nitasmamia mimi kwa ninavyokumind.Yatakushinda!
Nikifariki sitajua wala sitainjoi hata ukininunulia jeneza la dhahabu!Nipe mchango wa harusi ndo ntajua kweli!hehehehe dah! hakyanani lizzy ukifariki gharama zote nitasmamia mimi kwa ninavyokumind.
Nikifariki sitajua wala sitainjoi hata ukininunulia jeneza la dhahabu!Nipe mchango wa harusi ndo ntajua kweli![/QUOTE]
khaaa! yaani hela nitoe mimi halaf masarakasi apige njemba nyengine. nitake razi