Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,821
- 59,424
Hivi wanaume nao wavae ili wavutie, au wanawake tu?
Mwanaume avae night dress????
Pajama au boxers.....ila boxer zaidi kama ana mwili wa kuonyesha inavutia sana!
Hivi wanaume nao wavae ili wavutie, au wanawake tu?
Haishuhsi stimu bana.
acha tubalance basi, na wanaume inabidi wavae mapajama sio wanawakabili wenza wao na midubwana inaning'inia kama mezani ilokufa spiringi. usiku lazima ukuwe romantik bana.
huyo hapo red ni member wa JF au?Hahahahahahahah lol
kuna topic kama hii tuli
Kutananayo nadhani december2010
we na Uporoto na Hashaycool
hayo maswali mmmhhh balaa
Ndo maana
nimeweka ngao
Mbele trip hii
hahahahahahahah lol
Kulala na nguo ni ushamba
(Jinsi, mashati, sijui sketi)
Lakinia
kwa upande wa wanawake
Tuna night dress ambozo ukivaa
ni kivutio kwa mwanaume..
..
Mimi naona
kulala na nguo za usiku
ni chaguo la mtu ..
usema ukweli saa nyingine is not
About impressing someone but feel comfortable..
Sijaelewa mama...
huyo hapo red ni member wa JF au?
Mi nikishasaini mkataba wa kulala kitanda kimoja na jinsia ya kike.
Iwe mkataba wa muda au wa kudumu
Nguo za aina yoyote muiitayo, isikanyage kwenye kitanda changu/cha gesti/cha hotelini.......Mi kazi yangu inakuwa ni kutumbukiza pale napohitaji.......nguo awavalie wengine, mi nahitaji ngozi yake bana.
Hivi bado kuna wababu wanapelekana na wabibi gesti???
fellow tablet huyo jamaa habari zisizo rasmi zinasema walimdaka border la zimbabwe anauza zahabu feki, sasa sjui kama ataluudi tena JFHuyo ameshapanda cheo, siyo member tena, ni Senior Expert Member.............yaani ana aleji na MMU, mkono mtupu haulambwi.
Inategemea zali limekuangukia ukiwa wapi.....kama ni Loliondo kwa babu huko, hoteli utaipatia wapi nawe una kiu ya kufa na mwanamke?
huyo hapo red ni member wa JF au?
Sina hakika na hiyo, but najua kuna wababu wanapelekana na wajukuu...
Hahahahahahahah lolMi nadhani kwangu hata akivaa jeans yaani kwangu atakuwa attractive tu na kibano must tena kila cku kama naye yuko ready