Kuvaa nguo ya CCM ni dhambi?

Karume havai,we nani kwenye chama hadi uvae?
 
mkuu nguo za chama huwa navaa ila sijawahi tinga nazo mwanza mjini kwani mimi ninaishi USAGARA kama unaenda busisi.
Embu na we jaribu kuvaa labda wamenionea tu hao watu walionizomea,nimechukia kweli leo

Inaelekea hata katika hali ya kawaida hufanyi utafiti kabla ya kufanya jambo..Ulivaa ukitegemea kusifiwa?
Pole ndio ujue hapa tulipo kila mtu amechoka,Kinachohitajika ni mabadiliko na sio vingine.
 

Wanakunyanyapaa kwa sababu unaongozwa na bangi kuvaa nguo za uchaguzi pasipo na uchaguzi. Pili unasapoti mafisadi, majangili na wezi wa raslimali za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…