Kuvaa Mlegezo Ni Fashion Au Uhuni?

Kwa hiyo akina lil wayne mashoga mana vijana wengi wa africa wameiga kutoka kwa black hip hop artist wa marekani!! Na mbona mashoga wa bongo hawavai milegezo its free world acha watu waishi watakavyo as long ww hawakudhuru! Valia hata shingoni
 
kusema ukweli nikikutana na mtu anamlegezo huwa najua anatangaza biashara! kwani hapa ni tofauti?
 
Kwa hiyo akina lil wayne mashoga mana vijana wengi wa africa wameiga kutoka kwa black hip hop artist wa marekani!! Na mbona mashoga wa bongo hawavai milegezo its free world acha watu waishi watakavyo as long ww hawakudhuru! Valia hata shingoni

Ipo siku mkisikia wakina Lil Wayne na wana Hip hop wamekuwa mashoga mtaiga
 
Matangazo ya biashara. weka na picha tuone basiii

Nasema hiv siachi mlegezo kwa kigezo kwamba et ni ushoga maana hio hypothesis haina mashiko,embu tafta picha za watu waliotangaza kabisa kwamba ni mashoga alafu uone kwa sasa kama wanavaa ivo.


But naeza acha kuvaaa ivo in case of moral conduct na si vinginevyo.

Kuhusu picha ni private,na kuonesha naweza but lazima iwe private pia.
 
Kwa mujibu wa utafiti nilioufanya ni kuwa asili ya mlegezo ni ushoga. Staili hii ya kufunga mlegezo zilianza kwenye Nchi za mangaribi na baadae kuigwa na malimbukeni wa kiafrica ikiwemo Tz bila kutafakari. Vijana wengi wa pwani ni waathirika wakubwa wa uvaaji huu wa ajabu kabisa. Na hata ktk pwani nyingi kwa mfano Mombasa Kenya, Tanga na Mkoa wa pwani ndio sehemu kubwa ambazo vijana wengi wanajihusisha na ushoga. Biashara ni matangazo na ukifunga suruali nusu ---- unatangaza kuwa wewe ni shoga. Nawaasa vijana wajirekbishe na kuacha tabia hii ya kuonyesha makalio, kwani kufanya hivyo ni sawa na kujitangaza kuwa wewe ni pilau roast. Vijana wengi tuhakikishe kuwa tunapambana na hawa wajinga wachache wanao udhalilisha uanaume wetu. Michango yenu wana jf ni muhimu sana ili kutokomeza huu upuuzi unaokera sana ktk jamii. Nawasilisha.

Hili ni Janga kubwa hapa Tz na wa kulaumiwa ni wazazi ,serikari na jamii kwa Ujumla ! Kwani inaelekea Kama hawaoni huu uvaaji Wa Mlegezo Kuwa ni Bomu linalokaribia kulipuka na Hakuna wa kulitegua sasa kila Mtu anaishia kulalamika chini chini tu ! Pasipo kubuni mbinu ya kukomesha mlegezo .
 
Uganda Mlegezo ni Marufuku Nchi za kiarabu zote Mlegezo ni marufuku pia Shirika la ndege la USA wamepiga marufuku Abiria wao kuvaa mlegezo wanasisitiza Mtu avae nguo size yake na imkae vizuri kiunoni hapo unakuwa Mteja bora . Hili janga la Uvaaji Mlegezo ni Janga ambalo Kama Serikari haijalikemea kwa dhati kwa kupiga Marufuku uvaaji wa hovyo hovyo hakika halitakwisha milele na sasa wanawake wengi wanavaa nguo za kubana ni full majanga ! Bunge watunge sheria haraka zinazokataza Uvaaji wa hovyo na hiyo sheria ipewe meno vyombo vya Habari na jamii yote wahamasishwe kuvaa vizuri matangazo yasambazwe kila kona kusisitiza uvaaji wa kulinda maadili nina uhakika wanaweza kufanikiwa lakini kinyume na hapo hili janga la Mlegezo litaendelea kuwatesa wana jamii waaadilifu.
 
Kuna vioja sana kwenye madala dala na sehemu zenye mikusanyiko ya vijana wengi ambapo wavaaji Mlegezo wengi huonekana huko ! Wengi kutokana na kuvaa kiajabu hata mwendo wa kutembea hubadilika wanakwenda upande upande Kama gari iliyokata senta bolt huku baadhi nguo zao za ndani ni chafu kupindukia na zinanuka sana Tunakuomba Mh Rais upige marufuku Mlegezo hapa Tanzania wanaoupenda mlegezo wamludie mungu
 
Mlegezo siachi na ukitaka sema utakalo bwana, kwani me ndo najua ukweli wake

Siku Serikari wakiamua kupiga marufuku na kuwaelimisha jamii madhala ya mlegazo nina imani utaacha kuvaa mlegezo. Nakupa mfano wa ubaya wa mlegezo kuna bar ilivamiwa na majambazi watu wengine wakakimbia lakini wale wa mlegezo walishindwa Kukimbia kisa mlegezo wakadakwa kirahisi
 
Biashara matangazo

Nchi zingine ukivaa nusu Hilo tangazo la jina ya Chupi wanakulipa kwa kuwatangazia nguo zao za ndani lakini hapa Tz watu wanatanaza bure wengine wanazitangaza chupi huku zikiwa chafu hawazitendei Haki chupi
 
Back
Top Bottom