Allien JF-Expert Member Jul 6, 2008 5,546 1,861 May 31, 2012 #1 Jamii inalichukuliaje? Acha Picha Ziongee
Kimbweka JF-Expert Member Jul 16, 2009 8,597 1,683 May 31, 2012 #4 Mbona huo sio mlegezo bali ni mvuko kabisa
N Navoyne JF-Expert Member Dec 12, 2010 874 373 May 31, 2012 #5 Ni vyote viwili uhuni na ni fashion pia............
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 May 31, 2012 #6 aaaaha ama kweli ukistaajab ya kike utakutana na ya kiume ngoja twende tuone tutakapo komea
M mzeelapa JF-Expert Member Jul 14, 2010 1,115 391 May 31, 2012 #7 Afanalek!!! Kinachofuata ni kuweka suruali begani!!!
D Dina JF-Expert Member Sep 18, 2008 3,190 1,728 May 31, 2012 #9 mzeelapa said: Afanalek!!! Kinachofuata ni kuweka suruali begani!!! Click to expand... You made my day kwa kweli. Kwa anayejua jibu atusaidie, suruali zinagundishwa na nini hadi haziporomoki chini?
mzeelapa said: Afanalek!!! Kinachofuata ni kuweka suruali begani!!! Click to expand... You made my day kwa kweli. Kwa anayejua jibu atusaidie, suruali zinagundishwa na nini hadi haziporomoki chini?
Azimio Jipya JF-Expert Member Nov 27, 2007 3,362 1,130 May 31, 2012 #10 Either way, IT doesn't make sense! Ni ulimbukeni na uhuni both ways!!
Al Zagawi JF-Expert Member Mar 17, 2009 2,461 1,447 Jun 1, 2012 #13 wanairudia asili yetu mkuu..si unajua manyani hayavai nguo mpaka kesho:music:
Endangered JF-Expert Member Sep 22, 2011 922 228 Jun 1, 2012 #14 Navoyne said: Ni vyote viwili uhuni na ni fashion pia............ Click to expand... kwahiyo ni fashion ya kihuni, + upumbavu!
Navoyne said: Ni vyote viwili uhuni na ni fashion pia............ Click to expand... kwahiyo ni fashion ya kihuni, + upumbavu!
Nyati JF-Expert Member Mar 6, 2009 2,489 1,814 Jun 1, 2012 #16 Okay sasa nalidhika kwani umeangalia upande mwingine
A Aine JF-Expert Member Nov 1, 2010 1,603 488 Jun 1, 2012 #17 Ni uchafu na kukosa ustaarabu na maadili
cacico JF-Expert Member Mar 27, 2012 8,362 7,797 Jun 1, 2012 #19 laanakum! @.com, hiki kizazi hiki!!!? mmhhh!
M Midavudavu JF-Expert Member Jan 23, 2012 287 59 Jun 1, 2012 #20 Mbona inajulikana wanaume wanaovaa hivi ni mashoga. Hili lilianzia America katika magereza yao. Hivyo hao wenzenu wapo kazini wanatangaza biashara.
Mbona inajulikana wanaume wanaovaa hivi ni mashoga. Hili lilianzia America katika magereza yao. Hivyo hao wenzenu wapo kazini wanatangaza biashara.