Kungurumweupe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2008
- 317
- 103
Hivi ndivyo watanzania wanavyowajaza mapesa mafisadi
Viwango vilivyokuwa vinatumika
Mapato na kodi kwa mwezi
Shilingi 0 mpaka Shilingi 80,000 -Asilimia sifuri
Shilingi 80,001 mpaka Shilingi 180,000 -Asilimia 15 ya kiasi kinachozidi Shilingi 80,000
Shilingi 180,001 mpaka Shilingi 360,000 -Shilingi 15,000 kuongeza asilimia 20 ya kiasi kinachozidi Shilingi 180,000
Shilingi 360,001 mpaka Shilingi 540,000 - Shilingi 51,000 kuongeza asilimia 25ya kiasi kinachozidi Shilingi 360,000
Zaidi ya Shilingi 540,000 - Shilingi 96,000 kuongeza asilimia 30 ya kiasi kinachozidi Shilingi 540,000
Viwango Vipya
Mapato na kodi kwa mwezi
Shilingi 0 mpaka Shilingi 100,000 - Asilimia sifuri
Shilingi 100,001 mpaka Shilingi 360,000 - Asilimia 15 ya kiasi kinachozidi Shilingi 100,000
Shilingi 360,001 mpaka Shilingi 540,000 - Shilingi 39,000 kuongeza asilimia 20ya kiasi kinachozidi Shilingi 360,000
Shilingi 540,001 mpaka Shilingi 720,000 - Shilingi 75,000 kuongeza asilimia 25ya kiasi kinachozidi Shilingi 540,000
Zaidi ya Shilingi 720,000 - Shilingi 120,000 kuongeza asilimia 30 ya kiasi kinachozidi Shilingi 720,000
Wengine wetu tunalipa kodi mpaka laki tatu na zaidi mtu unashangaa kwa nini kampuni kubwa kama Voda isilipe kodi.
Shilingi 0 mpaka Shilingi 80,000 -Asilimia sifuri (HATA HILI KUNDI HULIPA KODI KUPITIA BIDHAA WANUNUAZO DUKANI NA KWINGINEKO ILI KUKIDHI MAHITAJI YAO YA KILA SIKU)