Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Mimi naona chokochoko za Zanzibar haziishi........kwa nini tusiujadili huu muungano kwa kura za maoni? MIMI NAONA NI WAKUBWA WETU TUU wanautaka huu kuungano.......sasa tuanzia hapa JF kuujadili kama haitakuwa ni uhaini