kutumia internet kwa simu ya kichina

Richbest

Senior Member
May 23, 2011
101
24
habaor wadau nina mchina nokia fake nikiingia internet inakataa inaishia google nkiingia kwingine inakataa inasema "the document has been moved here" na nina memory card je naweza kwel kuingia labda kuna maujanja sina msaada tafadhal.Nawasilisha
 
Mchina yeyote huwa haina access ya Internet, lazima ukisuch itakwambia Memory is full au Insufficient Memory labda ziwe na ukubwa wa Memeory ya kutosha kuingia kwenye internet
Huenda huku kwetu Afrika Satelite hazinasi km huko China ktk Internet Service
 
Simu za namna hiyo huishia kwa GOOGLE tuu.Ushauri kwa sasa zipo simu za bei rahisi ambazo unaweza kudownload operamini.
 
habaor wadau nina mchina nokia fake nikiingia internet inakataa inaishia google nkiingia kwingine inakataa inasema "the document has been moved here" na nina memory card je naweza kwel kuingia labda kuna maujanja sina msaada tafadhal.Nawasilisha

Inawezekana kabisa kuiconfigure simu ya kichina upate internet. Na siku hizi wana matoleo mapya ni rahisi sana kuconfigure. Nafahamu ukiwa na simcard ya voda ingia kwenye website ya voda omba kuactivate simu yako ya nokia ambayo huijui model yake na watakupa parameters za kuingiza kama Account Name, APN, Homepage, Connection type, Proxy server address na Port.

Kwa upande wa airtel jaza ifuatavyo:
Profile name: Airtel tanzania
Account name: Tanzania airtel
Access Point Name: Internet
Homepage: http://www.tz.airtel.com
Data account:Tanzania airtel
Connection type: HTTP (No proxy)
Auth. type: Normal

Naipata ya airtel baada ya kuingiza parameters hizo. Kama yapo ma account ya uchina yafute na ingiza za tz kama new accounts kwa vile nafasi inaweza kuwa imejazwa na hizo za kichina na kutokuwezesha kuingiza za tz - ingawa unaweza edit zile za china ku replace za kwetu
Tafadhali lete feedback
 
so problem ni memory na internet ipo ok.
mambo ya kubrowse na kusurf mara nyingi yanatumia phone memory na sio memory card na simu ya kichina haina zaid ya kb 300 kama phone memory fuata njia hizi

Futa au move files zote (picha, miziki na video) kutoka phone memory ziende memory card ili phone memory iwe empty

Ukisearch google shuka chini box la chini la kusearch utakuta option ya web, images au mobile web click mobile web (kila ukisearch) hii itasababisha google kueka website ambazo ni mobile friendly so zitakua sio website kubwa sana na kuwezesha simu yako kubrowse.

Hope itasaidia
 
pamoja na memory lakini baadhi ya simu za kichina huwa zina profiles za china na unachoweza pata ni google hadi ufanye config.
 
Kama upo Dar nenda Zantel HQ pale Msasani. Wanao customer care watundu ambao wameiwezesha mchina ninaotumia sasa kupata full internet. Otherwise, remote setting kwa mchina ni ngumu!!
 
Inawezekana kabisa kuiconfigure simu ya kichina upate internet. Na siku hizi wana matoleo mapya ni rahisi sana kuconfigure. Nafahamu ukiwa na simcard ya voda ingia kwenye website ya voda omba kuactivate simu yako ya nokia ambayo huijui model yake na watakupa parameters za kuingiza kama Account Name, APN, Homepage, Connection type, Proxy server address na Port.

Kwa upande wa airtel jaza ifuatavyo:
Profile name: Airtel tanzania
Account name: Tanzania airtel
Access Point Name: Internet
Homepage: http://www.tz.airtel.com
Data account:Tanzania airtel
Connection type: HTTP (No proxy)
Auth. type: Normal

Naipata ya airtel baada ya kuingiza parameters hizo. Kama yapo ma account ya uchina yafute na ingiza za tz kama
new accounts kwa vile nafasi inaweza kuwa imejazwa na hizo za kichina na kutokuwezesha kuingiza za tz - ingawa unaweza edit zile za china ku replace za kwetu
Tafadhali lete feedback

Ahsante sana mkuu nimejaribu kwa voda kuna improvement maana saiv naenda mbali zaidi ya google na nyingine zinakubal ila ipo slow sana halafu baada ya muda inaniambia insufficient memory au timeout n.k
 
Thankx
it is really working 100% for weeks i wasnt able to use internet on my tecno phone
 
Ahsante sana mkuu nimejaribu kwa voda kuna improvement maana saiv naenda mbali zaidi ya google na nyingine zinakubal ila ipo slow sana halafu baada ya muda inaniambia insufficient memory au timeout n.k

pamoja mkuu. sasa suala la memory jaribu kufuata chief-Mkwawa alivyoshauri hapo juu au la nenda futa web history na cache
 
kwa wale wenye sim ya tigo jaribu hivi:

Internet service:
Profile name: Tigo Internet
Homepage: http://wap.tigo.co.tz
Data account:TIGO INTERNET
Connection type: HTTP (No proxy)
Auth. type: Normal
uSER NAME NA PASSWORD ACHA BLANK

DATA ACCOUNT (GPRS)
Account Name: TIGO INTERNET
APN: tigointernet
User name na password acha blank
Authority type: Normal
Primary na Secondary DNS acha zilivyo: 000.000.000.000

weka sim card ya Tigo kuwa DEFAULT
 
Kama upo Dar nenda Zantel HQ pale Msasani. Wanao customer care watundu ambao wameiwezesha mchina ninaotumia sasa kupata full internet. Otherwise, remote setting kwa mchina ni ngumu!!

kwa lain ya zantel?maana kila tukiwapigia wanasema zantel internet haifany kaz kwenye simu za kichina
 
NA TEKNO T25 NIFANYEJE KUPATA INTERNET,NATUMIA LAINI YA VODA. NA JINSI YAKUDOWNLOAD OPELAMINI NA FACEBOOK APPLCATION.pls
 
Back
Top Bottom