Sasa hii ndio njia na bei rahisi zaidi kuliko.Mambo vipi wadau
Naomba ushauri kuhusu njia rahisi ya bei nafuu kutuma mzigo CANADA tofaut na POST OFFICE sababu wana bei kubwa sana Pamoja na EMS
Duh ni hatari sababu kg 10 ni laki 3 na zaid
Mambo vipi wadau
Naomba ushauri kuhusu njia rahisi ya bei nafuu kutuma mzigo CANADA tofauti na POST OFFICE sababu wana bei kubwa sana Pamoja na EMS.
naomba nikuulize kama ulifanikiwa kutuma pia na ulitumia njia ganiHabari mkuu.
Ulifanikiwa kutuma? Ulitumia kampuni gani?