Kutuma CV vyuoni

GIANT90

Member
Apr 16, 2015
45
22
Habari wana JF, Mimi napenda kuuliza kwa mfano mtu una sifa za kuwa Assistant lecturer kwa maana ya GPA ya at least 3.8 undergraduate na 4.0 masters ukaamua kutuma CV Yako kwenye Moja ya chuo kikuu kabla ya nafasi hazijatangazwa. Je? Chuo kinaweza kukupa consideration ya kukuita na kukufanyia interview if Kuna uhitaji wa mtu wa masomo Yako?
Naomba kuwasilisha.
 
Habari wana JF, Mimi napenda kuuliza kwa mfano mtu una sifa za kuwa Assistant lecturer kwa maana ya GPA ya at least 3.8 undergraduate na 4.0 masters ukaamua kutuma CV Yako kwenye Moja ya chuo kikuu kabla ya nafasi hazijatangazwa. Je? Chuo kinaweza kukupa consideration ya kukuita na kukufanyia interview if Kuna uhitaji wa mtu wa masomo Yako?
Naomba kuwasilisha.
Ukifanya ivo unaweza kuitwa au kupata kama part time kama chuo kinaitaji mtu wa course Yako , ila issues ya ajira mara nyingi sana lazima nafasi itangazwa kwa public then watu wafanya maombi au labda kufanya transfer kutoka taasisi nyingine ( ukitaka kuomba kama part time unaweza kuonana na academic wa chuo maana ndo mtu anayepanga masomo pamoja na timetable ya masomo au wakuu wa department , kipindi cha kufanya ivo ni mwisho wa semistar coz semistar ikiaza tuu wanaweza kukuita kama watakuitaji
 
Ukifanya ivo unaweza kuitwa au kupata kama part time kama chuo kinaitaji mtu wa course Yako , ila issues ya ajira mara nyingi sana lazima nafasi itangazwa kwa public then watu wafanya maombi au labda kufanya transfer kutoka taasisi nyingine ( ukitaka kuomba kama part time unaweza kuonana na academic wa chuo maana ndo mtu anayepanga masomo pamoja na timetable ya masomo au wakuu wa department , kipindi cha kufanya ivo ni mwisho wa semistar coz semistar ikiaza tuu wanaweza kukuita kama watakuitaji
Thanks kwa kunipa mwanga
 
Ukifanya ivo unaweza kuitwa au kupata kama part time kama chuo kinaitaji mtu wa course Yako , ila issues ya ajira mara nyingi sana lazima nafasi itangazwa kwa public then watu wafanya maombi au labda kufanya transfer kutoka taasisi nyingine ( ukitaka kuomba kama part time unaweza kuonana na academic wa chuo maana ndo mtu anayepanga masomo pamoja na timetable ya masomo au wakuu wa department , kipindi cha kufanya ivo ni mwisho wa semistar coz semistar ikiaza tuu wanaweza kukuita kama watakuitaji
Kiongozi, unaweza kutoa mwongozo wa namna ya mtumishi kuomba nafasi ya kuhamia chuo kimoja kutoka chuo kingine?
Kwa mfano, kuomba uhamisho kutoka CBE kwenda Mzumbe.
 
Kiongozi, unaweza kutoa mwongozo wa namna ya mtumishi kuomba nafasi ya kuhamia chuo kimoja kutoka chuo kingine?
Kwa mfano, kuomba uhamisho kutoka CBE kwenda Mzumbe.
1. Kitu cha kwanza kbc kabla ya kuandika barua Ili usipoteze muda wako , lazima uweze kujua je icho chuo unachotaka kuhamia kinaitaji mtu wa course Yako , njia nyepese ya kujua icho kitu ni kuangalia kama kunawalimu wa part time kwaiyo nafasi unayotaka ww kuhamia kama wapo basi ukiandika barau unaweza kupata nafasi , lakini pia unaweza kuongea na HR yeye anaweza kukuambia vzr kama nafasi zipo au azipo japo sio Wote wanaweza kukuambia icho kitu mwingine anaweza kukujibu Amna nafasi kumbe zipo hapo inategemea na roho ya uyo HR , mtu mwingine wa kuongea nae ni mkuu wa department yy anaweza kukuambia kama nafasi ipo au amna , ukipata jibu kama zipo
2. Sasa hapo ni kuandika barua ya kuomba nafasi ya kuhamia chuo unachotaka ww , icho chuo watakapokurudishia majibu kuwa wana nafasi ndipo utaandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu Utumishi kupitisha kwa Mwajiri wako ( kama upo vzr na mwajiri wako mambo yatakuwa poa ila tofauti na hapo inakuwa vigumu sana kusaign barua Yako , lakini kama sehemu ya kazi ( chuo unachofanya kazi) kinaupungufu wa wafanyakazi inakuwa ngumu kupewa chance ya kuhama labda uwe na kismart chako ) kama ukitaka kuhamia kwenye chuo kingine fanya kwanza kuomba part time sehemu ( chuo) unachotaka kuhamia ukipata tuu fanya kuandika barua ya kuhamia hapo unafanya ivo coz unakuwa upo family na icho chuo tayar so it easy to push the process
 
1. Kitu cha kwanza kbc kabla ya kuandika barua Ili usipoteze muda wako , lazima uweze kujua je icho chuo unachotaka kuhamia kinaitaji mtu wa course Yako , njia nyepese ya kujua icho kitu ni kuangalia kama kunawalimu wa part time kwaiyo nafasi unayotaka ww kuhamia kama wapo basi ukiandika barau unaweza kupata nafasi , lakini pia unaweza kuongea na HR yeye anaweza kukuambia vzr kama nafasi zipo au azipo japo sio Wote wanaweza kukuambia icho kitu mwingine anaweza kukujibu Amna nafasi kumbe zipo hapo inategemea na roho ya uyo HR , mtu mwingine wa kuongea nae ni mkuu wa department yy anaweza kukuambia kama nafasi ipo au amna , ukipata jibu kama zipo
2. Sasa hapo ni kuandika barua ya kuomba nafasi ya kuhamia chuo unachotaka ww , icho chuo watakapokurudishia majibu kuwa wana nafasi ndipo utaandika barua kwenda kwa Katibu Mkuu Utumishi kupitisha kwa Mwajiri wako ( kama upo vzr na mwajiri wako mambo yatakuwa poa ila tofauti na hapo inakuwa vigumu sana kusaign barua Yako , lakini kama sehemu ya kazi ( chuo unachofanya kazi) kinaupungufu wa wafanyakazi inakuwa ngumu kupewa chance ya kuhama labda uwe na kismart chako ) kama ukitaka kuhamia kwenye chuo kingine fanya kwanza kuomba part time sehemu ( chuo) unachotaka kuhamia ukipata tuu fanya kuandika barua ya kuhamia hapo unafanya ivo coz unakuwa upo family na icho chuo tayar so it easy to push the process
Safi kabisa mkuu.
Baada ya kupata taarifa ya kinywa kuwa nafasi ipo,
1) Ile barua ya kwanza ya kuomba nafasi ni lazima ipitie kwa mwajiri?
2) Anayeandikiwa barua hiyo (ya kwanza) ni Makamu Mkuu wa Chuo husika au ni HR officer wake?
 
Back
Top Bottom