mimi na mume wangu tumeishi kwenye ndoa kwa miaka miwili sasa,tatizo ni kwamba tunapokua 6*6 anawah kupiz,baada ya goli moja anakua hoi hawezi kuendelea tena(goli la1 ni ndani ya dk3),na akimaliza analala fofofo ananiacha na hamu,nikimwambia anasema atajitahidi ila mambo ni yaleyale kila siku!na siku akitoka kazini kachoka ndo nahesabu mabati.naombeni msaada nifanyeje au kama kuna tiba maana nimechoka