kutoridhishwa katika mapenzi

Deborita

Member
Sep 10, 2013
37
11
mimi na mume wangu tumeishi kwenye ndoa kwa miaka miwili sasa,tatizo ni kwamba tunapokua 6*6 anawah kupiz,baada ya goli moja anakua hoi hawezi kuendelea tena(goli la1 ni ndani ya dk3),na akimaliza analala fofofo ananiacha na hamu,nikimwambia anasema atajitahidi ila mambo ni yaleyale kila siku!na siku akitoka kazini kachoka ndo nahesabu mabati.naombeni msaada nifanyeje au kama kuna tiba maana nimechoka
 
Kaushauri kangu: Muandalie mazingira ya mambo kisha mpikie mchunga au mchicha kichaa ale mchana jioni mpikie ugali samaki kisha baada ya kula mwache kama nusu saa mpe supu ya pweza kama inapatikana kama la mpe redbull baada ya nusu saaa watoto walale chumbani nyie mbaki hapo sebuleni.

Anza uchokozi lakini mwache yeye awe mchokozi zaidi muelekeze anyonye, ashike au aguse pale unapoamini utapata utamu ukweli ni kwamba ukiwa na ushirikiano utapz mara 2 kabla kuingiza nyoka pangoni. Baada ya yote mpelekee nyoka pango aingie kisha lisage rumba mwenyewe uatafaidi tu. La msingi ni kuhakikisha nyote mmejiandaa kisaikolojia siyo unampa mambo huku unamdai hela ya nguo, vitunguu vimeisha nk.

Mwisho humu hutaweza kupata ushauri ufaao fanya mpango kama upo Dar ni PM nitakuelekeza kwa makungwi professional uende wewe na mumeo kwa pamoja. All the best
 
duh pole my dia........sa we si uongee nae kuwa hizo jitihada anazofanya ziko wapi

raha ya hilo tendo kuchojoloshana na sie mwingine kuachwa hewani..........

na wewe huwa unajiandaa Psychologically.....emotionally....
 
mimi na mume wangu tumeishi kwenye ndoa kwa miaka miwili sasa,tatizo ni kwamba tunapokua 6*6 anawah kupiz,baada ya goli moja anakua hoi hawezi kuendelea tena(goli la1 ni ndani ya dk3),na akimaliza analala fofofo ananiacha na hamu,nikimwambia anasema atajitahidi ila mambo ni yaleyale kila siku!na siku akitoka kazini kachoka ndo nahesabu mabati.naombeni msaada nifanyeje au kama kuna tiba maana nimechoka

Dah! Nasikitika sana kusikia habari hizi...so sad! Yyyyyyyyyy? Y usiridhike wakati kuridhika ni issue ndogo sana????

Dada hapo juu kuna watu wameshauri vema sana, soma na uwe serious. Siku mumeo siku imemwendea vyema mpikie his favourite food...akija mpokee vizuri bebi wako.
Vaa kivazi fulani cha uchokozi na hata akilazimisha mfanye saa hiyo mwambie bebi subiri kwanza.
Hakikisha siku hiyo kama ni watoto wamelala mapema(kama ni wakubwa unaweza hata kuwapa likizo waende kwa nduguzo)...Just make it ur night as much as possible distraction zote jitahidi kuziondoa.

Usimsemeshe kwa ubaya hata kidogo na jitahidi kumvumilia akiharibu...kisha akishakula tafuta his favourite program(si mpira lakini). Tafuta a gud romantic movie weka muangalia while u get comfortable with each other na chakula kishuke.

Jitahidi utulie na yeye atulie kisha mwambie bebi leo nahitaji tutumie mda mrefu kwenye love making(its an art). Kisha usimwambie akikugusa wapi ndo unafeel vizuri. Tell him to "search all ur body" atazikusanya kadhaa na wewe akiipata sehemu inayokusisimua usisite kuonesha manjonjo(wala haihitaji kumwambia nishike hapa).
Spend a lot of time in romance na utaridhika mara nyingi hata by the time u actually do it umeridhika
Wanaume wengi sana hawajui sehemu za kushika kwa sababu sio wao wanashikwa so u need to walk ur man through ur body auelewe vizuri. Its not hard kumridhisha mwanamke kiukweli. Labda kwa wanaopenda mteremko wakiingia tu wanapitiliza kule moja kwa moja bila hata kuangalia kama kuko tayari!!!
 
Threads zako tu...

Hivi katika hiyo ndoa yenu mnapatana kweli ninyi...

Nakumbuka ushawahi kulalamika mara mbili kuwa una kiuno kigumu....

Halafu hii ni mara ya pili umekuja kuelezea tatizo la mumewe kuwa 'kikojozi'...

Sasa sijui tukusaidie vipi bi dada weye loh...
 
Shosti usiseme yy tuu wewe umechangia asilimia ngspi hapo? Nn umefanya yaku fanya yy angeze Eakins 3-10? Jee na wewe unalipaa kwenye maandalizii? Au yote unataka afanye yeye?
 
Threads zako tu...

Hivi katika hiyo ndoa yenu mnapatana kweli ninyi...

Nakumbuka ushawahi kulalamika mara mbili kuwa una kiuno kigumu....

Halafu hii ni mara ya pili umekuja kuelezea tatizo la mumewe kuwa 'kikojozi'...

Sasa sijui tukusaidie vipi bi dada weye loh...

Mhhhhh mi naona apate likizo ndefu
 
1386327264409.jpg
Weka yako tuonee

Kwa niaba..
 
kaushauri kangu: Muandalie mazingira ya mambo kisha mpikie mchunga au mchicha kichaa ale mchana jioni mpikie ugali samaki kisha baada ya kula mwache kama nusu saa mpe supu ya pweza kama inapatikana kama la mpe redbull baada ya nusu saaa watoto walale chumbani nyie mbaki hapo sebuleni.

Anza uchokozi lakini mwache yeye awe mchokozi zaidi muelekeze anyonye, ashike au aguse pale unapoamini utapata utamu ukweli ni kwamba ukiwa na ushirikiano utapz mara 2 kabla kuingiza nyoka pangoni. Baada ya yote mpelekee nyoka pango aingie kisha lisage rumba mwenyewe uatafaidi tu. La msingi ni kuhakikisha nyote mmejiandaa kisaikolojia siyo unampa mambo huku unamdai hela ya nguo, vitunguu vimeisha nk.

Mwisho humu hutaweza kupata ushauri ufaao fanya mpango kama upo dar ni pm nitakuelekeza kwa makungwi professional uende wewe na mumeo kwa pamoja. All the best

kwa kuanzia hapo nilipo-bold nadhani na wewe unahusika..unless wewe haumo/aupo "humu ambako hawezi kupata huo ushauri unaofaa"

just another piece of crappppp.
 
Dah! Nasikitika sana kusikia habari hizi...so sad! Yyyyyyyyyy? Y usiridhike wakati kuridhika ni issue ndogo sana????

Dada hapo juu kuna watu wameshauri vema sana, soma na uwe serious. Siku mumeo siku imemwendea vyema mpikie his favourite food...akija mpokee vizuri bebi wako.
Vaa kivazi fulani cha uchokozi na hata akilazimisha mfanye saa hiyo mwambie bebi subiri kwanza.
Hakikisha siku hiyo kama ni watoto wamelala mapema(kama ni wakubwa unaweza hata kuwapa likizo waende kwa nduguzo)...Just make it ur night as much as possible distraction zote jitahidi kuziondoa.

Usimsemeshe kwa ubaya hata kidogo na jitahidi kumvumilia akiharibu...kisha akishakula tafuta his favourite program(si mpira lakini). Tafuta a gud romantic movie weka muangalia while u get comfortable with each other na chakula kishuke.

Jitahidi utulie na yeye atulie kisha mwambie bebi leo nahitaji tutumie mda mrefu kwenye love making(its an art). Kisha usimwambie akikugusa wapi ndo unafeel vizuri. Tell him to "search all ur body" atazikusanya kadhaa na wewe akiipata sehemu inayokusisimua usisite kuonesha manjonjo(wala haihitaji kumwambia nishike hapa).
Spend a lot of time in romance na utaridhika mara nyingi hata by the time u actually do it umeridhika
Wanaume wengi sana hawajui sehemu za kushika kwa sababu sio wao wanashikwa so u need to walk ur man through ur body auelewe vizuri. Its not hard kumridhisha mwanamke kiukweli. Labda kwa wanaopenda mteremko wakiingia tu wanapitiliza kule moja kwa moja bila hata kuangalia kama kuko tayari!!!

mkuu ushauri mzuri ingawa kwa tatizo la dada hapo si ndo jamaa atamaliza ndani ya dakika moja sasa badala ya tatu?
 
....tuwekee picha tuone anavyolala fofofo...……akilala we fikicha/pekecha (kang'ate) kale kamkia lazima ataamka tu
 
usimruhusu kuanza mambo shasha, umpige romance kwa muda mrefu ikiwezekana cha kwanza apige kwa nje kabla hajaingiza, baada ya hapo anapata mapumziko kidogo then romance kidogo halafu unamruhusu aingie, utaona anavyopiga kazi, all the best! UTANIPA MREJESHO KAMA UTAJARIBU USHAURI WANGU
 
dah! Nasikitika sana kusikia habari hizi...so sad! Yyyyyyyyyy? Y usiridhike wakati kuridhika ni issue ndogo sana????

Dada hapo juu kuna watu wameshauri vema sana, soma na uwe serious. Siku mumeo siku imemwendea vyema mpikie his favourite food...akija mpokee vizuri bebi wako.
Vaa kivazi fulani cha uchokozi na hata akilazimisha mfanye saa hiyo mwambie bebi subiri kwanza.
Hakikisha siku hiyo kama ni watoto wamelala mapema(kama ni wakubwa unaweza hata kuwapa likizo waende kwa nduguzo)...just make it ur night as much as possible distraction zote jitahidi kuziondoa.

Usimsemeshe kwa ubaya hata kidogo na jitahidi kumvumilia akiharibu...kisha akishakula tafuta his favourite program(si mpira lakini). Tafuta a gud romantic movie weka muangalia while u get comfortable with each other na chakula kishuke.

Jitahidi utulie na yeye atulie kisha mwambie bebi leo nahitaji tutumie mda mrefu kwenye love making(its an art). Kisha usimwambie akikugusa wapi ndo unafeel vizuri. Tell him to "search all ur body" atazikusanya kadhaa na wewe akiipata sehemu inayokusisimua usisite kuonesha manjonjo(wala haihitaji kumwambia nishike hapa).
Spend a lot of time in romance na utaridhika mara nyingi hata by the time u actually do it umeridhika
wanaume wengi sana hawajui sehemu za kushika kwa sababu sio wao wanashikwa so u need to walk ur man through ur body auelewe vizuri. its not hard kumridhisha mwanamke kiukweli. Labda kwa wanaopenda mteremko wakiingia tu wanapitiliza kule moja kwa moja bila hata kuangalia kama kuko tayari!!!

hapo nilipo-bold nahitaji maelezo...ili mwanamke aridhike inabidi "awe aje"?....unasemaje kuhusu fake orgasms....?
 
Cjui cha kukushauri kwa sababu inawezekana ww ndo sababu ya mwenzio kutotamani kuendelea baada ya round ya kwanza.

Mh inawezekana kla cku ndo style ile ile, eneo la tukio hilo hilo, kabla ya kuanza mnakuwa mmenuniana, "hujishughulishi", hapati vyakula vya kuongeza nguvu, hapati maneno matam, wategemea nini hapo shosti kama sio anavyokoroma ww waanza kutafuta na kugundua sehemu
ambazo fundi alikosea nyumba inavyojengwa!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom