kutoridhishwa katika mapenzi

kutoridhishwa katika mapenzi

pole dada! ushauri wangu ni mdogo tu. najua unaweka mazingira ya tendo hilo kama inavyopaswa. kitu ambacho unatakiwa umwambie mme wako usimruhusu aingize kwanza kiungo chake kwako, mwambie mpz usiwe na haraka hivyo hebu nichezee kwanza king'amuzi changu hadi niridhike! mm najua mwanaume ana uwezo wa kucheza na king'amzi cha mpenzi wake hadi akapagawa hadi yeyemwenyewe atasema please ingiza, nakwabia kama mwanamke akisha sema hivyo haihitaji dakikanyingi naye atafika na atafuahia.
 
mimi na mume wangu tumeishi kwenye ndoa kwa miaka miwili sasa,tatizo ni kwamba tunapokua 6*6 anawah kupiz,baada ya goli moja anakua hoi hawezi kuendelea tena(goli la1 ni ndani ya dk3),na akimaliza analala fofofo ananiacha na hamu,nikimwambia anasema atajitahidi ila mambo ni yaleyale kila siku!na siku akitoka kazini kachoka ndo nahesabu mabati.naombeni msaada nifanyeje au kama kuna tiba maana nimechoka

Dawa aongeze mke wa pili!!!😛
 
Nani kakwambia?
....If you would win a man to your cause, first convince him that you are his sincere friend.
No man has a good enough memory to make a successful liar.
 
mimi na mume wangu tumeishi kwenye ndoa kwa miaka miwili sasa,tatizo ni kwamba tunapokua 6*6 anawah kupiz,baada ya goli moja anakua hoi hawezi kuendelea tena(goli la1 ni ndani ya dk3),na akimaliza analala fofofo ananiacha na hamu,nikimwambia anasema atajitahidi ila mambo ni yaleyale kila siku!na siku akitoka kazini kachoka ndo nahesabu mabati.naombeni msaada nifanyeje au kama kuna tiba maana nimechoka

Hayatuhusu. Nenda kayamalize na mumeo. This is your private business. Hatuhusiki kabisa.
 
images
 
Kwa kawaida wanaume wengi wanawahi kupisi raund Ya kwanza. So hapo utata ni kwa nini anaishia raundi ya kwanza.
 
Kaushauri kangu: Muandalie mazingira ya mambo kisha mpikie mchunga au mchicha kichaa ale mchana jioni mpikie ugali samaki kisha baada ya kula mwache kama nusu saa mpe supu ya pweza kama inapatikana kama la mpe redbull baada ya nusu saaa watoto walale chumbani nyie mbaki hapo sebuleni.

Anza uchokozi lakini mwache yeye awe mchokozi zaidi muelekeze anyonye, ashike au aguse pale unapoamini utapata utamu ukweli ni kwamba ukiwa na ushirikiano utapz mara 2 kabla kuingiza nyoka pangoni. Baada ya yote mpelekee nyoka pango aingie kisha lisage rumba mwenyewe uatafaidi tu. La msingi ni kuhakikisha nyote mmejiandaa kisaikolojia siyo unampa mambo huku unamdai hela ya nguo, vitunguu vimeisha nk.

Mwisho humu hutaweza kupata ushauri ufaao fanya mpango kama upo Dar ni PM nitakuelekeza kwa makungwi professional uende wewe na mumeo kwa pamoja. All the best

mambo hayo fanyia kazi
 
Sawa ndugu who cares ni kweli nimetoa crappppp kama ulivyosema sijui wewe umetoa nini cha kumsaidia? Hili ni jambo la watu wawili siyo la mwingine. Niungane na aliyeuliza kuwa mhusika amefanyaje kutatua tatizo?

Mwenzangu wa crapppp amekuja na mapovu utadhani kuna mwalimu wa mambo haya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom