mshahara kwa wakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Ubinadamu kazi: Namlipa mshahara kwa wakati, kazi anafanya bila presha, lakini anajisifu ananipiga. Kuanzia leo ntakuawa siwalaum maboos kuwa wakali

    Ni binti huyu mtoto wa 2000, nilimweka anisaidie dukani. Mishahara kwa maduka mengi ni laki hadi laki na nusu, mimi nampa 180k. Kila siku anachukua 5k, Nimeweka wifi dukani ya ttcl asiboreke sana, 55k kwa mwezi. Jumapili siku ya kupumzika Leo kuna namna nimeweza kunakili chats zake zote...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Kutopewa mshahara Kwa wakati

    Mimi ni mmoja wa wafanyakazi katika taasisis moja wapo inaratibiwa na HJFMRI hawa wamechelewesha mshahara , Mshahara wetu WA mwezi wa nne mpaka Leo hatujapata na tukijaribu kuuliza halmashauri ya mbeya inajibu payroll yetu ishawasilisha je hii ni haki , na kazi bado tunaendelea kufanya pasipo...
  3. Ze_Papirii

    JamiiForums Tanzania Je, Kiwango chako cha fedha kikubwa cha kusave kwa mwezi ni kipi na nini kinakukwamisha usisave?

    Habari wana JF Natumaini tuna vipato tofauti tofauti humu ndani embu leo tupeane utaalamu kidogo wewe unaweza kusave kiasi gani kwa mwezi na ni asilimia ngapi ya kipato chako kwa mwezi hiyo ela unayosave na Je kama huwezi kusave kabisa ni nini kinakukwamisha.? Binafsi kwa mwezi nimejiwekea...
  4. Annie X6

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Namshukuru Rais Samia napata mshahara ninaostahili kama Bingwa katika fani yangu

    Wanaosema mi5 tena wanamaanisha. Katika kipndi cha miaka minne nimepanda cheo mara mbili, nimefikia pale nilipo dream go years back Na sasa napata mshahara wa daktari Bingwa. Asante Mama samia. Huna baya
Back
Top Bottom