Maty
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 2,167
- 725
hahaha utawapata hao hao....hakuna kitu cha mwanaume kamili kikaenda hivi hivi
Acha ubahili
hahaha utawapata hao hao....hakuna kitu cha mwanaume kamili kikaenda hivi hivi
hahahaha nimeona na wewe hebu kakague!Acha ubahili
Nakumbuka kipindi nilivyokuwa 'kijana'.... dah!
Ingekuwa ndo sasa hivi kina dada wote humu mngekomaje!...
Acha ubahili
hommie hebu kua wa kwanza kinigongea kale ka fevareti ketu (naskia ma mod hawataki tuombe)
Ku*"ngozwaa raha mara ishirin zaidi! Na vijizawad zawad aaaah wavipata, mwsho wa siku unalibwaga bwaaaa baharini!!
unaweza kujifunga kibwebwe stil kibuti kikatembeakujilipua ndio mpango mzima tutawapataje wenza wetu sasa? mie niko kwenye mchakato nikipendezwa tu najifunga mabomu najilipua inshallah ntampata tu ........
Chatu kamalizia lol, hivi chatu hapa unajua unaongea nini au ndiyo hivyo tena umefloo na vina tu. Yaani nimecheka sanaalfuununi majunuuni...
Bugududu sududu!
unaweza kujifunga kibwebwe stil kibuti kikatembea
Namheshimu wifi/shemeji yenu...
hahaha! umenikumbusha kuna binti nilimpenda ajabu miaka ya nyuma mtoto wa kiume nikajinyima nikampangishia nyumba,makochi,kitanda,kabati,dressing table,TV,deck,feni na mazagazaga kibao,alipoona chumba kimekamilika haswaa akadai hanipendi tena hahaha! nikajikung'uta vumbi na kuishia zangu lol!