Kutongoza ni janga kitaifa

Kutongoza ni janga kitaifa

Wengine ukiongea nao, majibu yao tu yanaonyesha kama ana vuta bangi au mlevi kwa majibu yake tu,

Na hapo ni pale mwanzomwanzo tu wa story je mkiendelea na story kweny ile stage ya kushusha vocal si ataanza kuongea kama ana mapepo vile, yann yote hayo bora uonekane domo zege kwa kutunza heshima yako sio kuharibiana cv mchana, mchana wakati huo mtu nwenyewe unae mtongoza kwa kukuangalia tu hana mbele wala nyuma,
Kila anapoitwa anaenda..upumbav gan huo bhana alaaaaah...

Let them get the hell far from us...

The way they cust bad to us is the way they curse them selves and become a budden to their entire life.

Napambana na hali yangu bhana mapenzi baadae.
Sasa hapo mkuu ndo unatakiwa uwe creative na wewe kabla hujamfata msichana maana wengi wao wanakurupuka mwisho wanaambulia vibuti. Kikubwa ni kumsoma umuelewe mtu unayemtaka
 
Nani kakuambia sisi wapiga punyeto ni madomo zege!?? Kijana angalia maneno yako!!!

Punyeto is all about feelings and emotions!!

Puchu Love It, Live it!!!!
Mkuu Acha punyeto si nzuri
 
Sasa hapo mkuu ndo unatakiwa uwe creative na wewe kabla hujamfata msichana maana wengi wao wanakurupuka mwisho wanaambulia vibuti. Kikubwa ni kumsoma umuelewe mtu unayemtaka
Hicho ndicho huwa nakifanya mkuu, huwa simkurupukii manzi et kisa nmekutana nae jweny daladala au maeneo flan flan inanihitaji muda kwanza yani hadi kufikia approach stage
 
Mkuu ulivyoandika tu inaonekana na wewe kutongoza sio talent yako
 
Hivi kumbe mpaka Leo kuna watu bado mnahangaika kutongozana ?? ..kutongoza nao ni udomo zege tu ...mbona papuchi zinaliwa tu siku hizi bila hata kutongoza..
 
Mimi napiga vizuri sio sababu ya udomo zege kuacha siwezi maana mi tamu kuliko kipochi manyoya
 
Ivi ukiwa umfatilii mwanamke ni kua una domo zege peke yake,


Coz mim sifatilii wanawake sio kwamba na domo zege hapana, ila nimeumizwa to the extent siwez kuamini kabisa,... So situation kama yangu does it apply na udomo zogo,
Kwaiyo unanyetuka?
 
madem zao pesa.......ukiwa nazo wala hutongoziiii.....suala la punyeto ni anjam.....domo zege halihusiki kabisa......ina ladha yake
 
Umaskini wa fikra,
Umaskini wa fedha,
Umaskini wa kutojiamini.
 
Back
Top Bottom