ifa96
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 511
- 345
Heshima kwenu wakuu
Kama kicha cha habar hapo juu mke wangu amekuwa na hili tatizo miez sita sasa amekuwa akitokwa na uchafu ukeni Kama maziwa mgando iv,hii shida ilianza alipopata uja uzito bahat mbaya mimba iliharibika nilimwaisha hospital akapata huduma saf na kusafishwa pia,lakin tangu apo ndo shida ilipoanza nimeenda sono zaid ya mara 6 hana shida,
Amepimwa saratan hamna ametumia dawa na sindano pia lakn bado shida iko pale pale magonjwa yote ya zinaa tumepima majibu ni hamna,
KWA SASA MKE WANGU AMEKOSA NURU,HAJIAMINI TENA,ANAONEKANA KAMA MTU ALIEKATA TAMAA
msaada wenu wakuu ili aweze kuwa salama tena
Kama kicha cha habar hapo juu mke wangu amekuwa na hili tatizo miez sita sasa amekuwa akitokwa na uchafu ukeni Kama maziwa mgando iv,hii shida ilianza alipopata uja uzito bahat mbaya mimba iliharibika nilimwaisha hospital akapata huduma saf na kusafishwa pia,lakin tangu apo ndo shida ilipoanza nimeenda sono zaid ya mara 6 hana shida,
Amepimwa saratan hamna ametumia dawa na sindano pia lakn bado shida iko pale pale magonjwa yote ya zinaa tumepima majibu ni hamna,
KWA SASA MKE WANGU AMEKOSA NURU,HAJIAMINI TENA,ANAONEKANA KAMA MTU ALIEKATA TAMAA
msaada wenu wakuu ili aweze kuwa salama tena