Uchafu mweupe ukeni na ujauzito

Wild fauna

JF-Expert Member
Apr 22, 2012
461
189
Aman ya Muumba wa mbingu na nchi iwe nanyi wadau.

Nina shida kidogo ningependa kushea nanyi ili mnipatie ushauri na pengine kutatua tatizo hili.

Nina mke wangu ana ujauzito wa miezi 4 kwa sasa, ila amekuwa akitokwa na uchafu mweupe kama maziwa ya mgando ndani ya uke.

Anajichokonoa mpaka ndani kwa kunawa ila bado hauishi. Kabla ya kuwa na mimba tatizo kama hili halikuwepo,tafadhali nakaribisha ushauri na hata utatuzi wa changamoto hii.
Naomba kuwasilisha
 
hizo ni infections za fungus ukeni.aache kuosha mbunye km anasugua sufuria na kuingiza masabuni ndani mbaya sana hyo.aende hosptl
Hahaaaa ka sufuria umenichekesha. Wengi husugua papuchi ka miguu vile na hivi MTU mjamizito immunity hupungua mno. Aende hospital kabla kijacho hakijapata majanga
 
Wakati wa ujauzito kinga inashuka kidogo hivyo inapelekea mama kupata shida kidogo sehemu mbali mbali za mwili.

Kitu cha muhimu azingatie usafi na aache kuosha papuchi kwa staili hiyo...

Nashauri aende Hospitali haraka sana.
 
Hiyo ni candidiasis ni kawaida kwa mama mjazito kupata hilo tatizo hata UTI huwapata wajazito kutokana na mabadiliko ya mwili tu.ila anavyojichokonoa ndio anazidisha tatizo.
Aende hospital atapata matibabu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom