
- Joined
- May 12, 2016
- Messages
- 231
- Likes
- 141
- Points
- 60

Tzabway
JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016



Habari zenu ni matumaini yangu muwazima wa afya, pia poleni kwa mihangaiko ya maisha ya kila siku Niende kwenye mada.
Kuna jambo huwa linanishangaza sana, ikitokea mtu amekula sumu (bahati mbaya au kwa makusudi) huwa kuna mapovu anayatoa mdomoni. Naomba kujuzwa Haya mapovu yanatokana na nini?
Natanguliza shukrani.
Kuna jambo huwa linanishangaza sana, ikitokea mtu amekula sumu (bahati mbaya au kwa makusudi) huwa kuna mapovu anayatoa mdomoni. Naomba kujuzwa Haya mapovu yanatokana na nini?
Natanguliza shukrani.