good96
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 518
- 537
Habarini wakuu
Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada, nimekua nikijiuliza Kwa muda mrefu nini hasa ni chanzo ama sababu Kuu ya kuwepo/kuongezeka Kwa tatizo la Vijana wasio na ajira mtaani.
1)Je ni Mfumo Wetu wa elimu unatufanya kujenga Vijana tegemezi? au
2)Ni uoga wa kuthubutu kujiajiri na kubaki kutegemea mfumo wa Ajira(kuajiriwa) ama
3)Ni uvivu umejengeka Katika kizazi cha Vijana Wa kileo?
Karibuni Kwa mjadala wakuu
Nijielekeze moja kwa moja kwenye mada, nimekua nikijiuliza Kwa muda mrefu nini hasa ni chanzo ama sababu Kuu ya kuwepo/kuongezeka Kwa tatizo la Vijana wasio na ajira mtaani.
1)Je ni Mfumo Wetu wa elimu unatufanya kujenga Vijana tegemezi? au
2)Ni uoga wa kuthubutu kujiajiri na kubaki kutegemea mfumo wa Ajira(kuajiriwa) ama
3)Ni uvivu umejengeka Katika kizazi cha Vijana Wa kileo?
Karibuni Kwa mjadala wakuu