Kutokuiba kura na kutegemea vyombo vya usalama badala ya wananchi kuipa Serikali mamlaka ya kutawala ni njia bora ya kuzuia machafuko

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,468
911,174
Katika ukurasa wake wa Twitter Ibrahim Babangida kaweka wazi hadharani sifa za serikali ya kiraia kupinduliwa.

Moja, uwepo ushahidi wa kutosha palikuwepo na matukio ya wizi wa kura. Pili, serikali iliyoingia madarakani haina uhalali utokanao na uchaguzi,.

Tatu, wananchi wana malalamiko ambayo wapanga mapinduzi wanaona wataungwa mkono na raia. Nne, wanao uwezo wa kutekeleza azma yao. Tano, mahakama zinahalalisha mamlaka haramu.

USHAURI
Kuacha kuiba kura na kutegemea vyombo vya usalama badala ya wananchi kuipa serikali mamlaka ya kutawala ni njia bora ya kuzuia mapinduzi ya kijeshi au machafuko.



PSX_20230804_113915.jpg
 
uacha kuiba kura na kutegemea vyombo vya usalama badala ya wananchi kuipa serikali mamlaka ya kutawala ni njia bora ya kuzuia mapinduzi ya kijeshi au machafuko.
Jehuoni kama vyombo vya dola ni sehemu ya hayo yanayotokea kwenye chaguzi ni sehemu ya kuzuia mapinduzi?
 
Tanzania dola yote ( Polisi,JWTZ, TISS) wapo chini ya serikali.

Hawana uwezo wa kujiongeza kwa maslahi ya Taifa kama vijana wenye uchungu na nchi zao za Niger, Burkina Faso, Mali.
 
Ila dawa ya wizi ni moja tu, na Tz ni maarufa sana kwa hili, litakoma soon wananchi wakiamua one day!
 
Back
Top Bottom