michael4realy
New Member
- Nov 23, 2014
- 3
- 0
daaaaaaaaaaaa????
siyo kweli kabisa kuwa kufanya ngono ndiyo kunamfanya mwanamke awenamood nzuri . Huu ni ujanja wakuhamasisha wanawake wakubali kufanya ngono maranyingi zaidi na wanaume wapate wanawake wakuzini nao kwa urahisi.kama ni kweli unamaana wanawake wanao jiuza na kuafanya ngono zaidi ya mara tano kwa siku wana mood nzuri kuliko wanawake ambao wanajiheshimu ambao hufanya tendo la ndoa kwa mpangilio kama mara moja kwa siku au maramoja kwa week. acha uongo wako