Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Mshirika huyo ambaye alikuwa mtu wa karibu na Paulo Kagame anayeenda kwa Jina la Paulo Muvunyi alikamatwa siku ya mkesho wa Christmas na hadi sasa bado anashikiliwa.
Kachero huyo ambaye pia no mfanyabiashara mkubwa alihusika na kufanisha pakubwa kwenye mchakato wa kumfuatilia, kumchunguza na hatimaye kukamatwa na Mfanyabiashara Asinapoli Rwigara.
Mfanyabiashara huyo mkubwa nchini Rwanda aliyetofautiana na Kagame baadaye aliuawa kikatili Februari mnamo 4, 2015.
Paulo Muvunji alitumika pia kuchafua jina la Marehemu Rwigara hata baada ya kifo chake.
Muvunyi anekamatwa pamoja na mshirika wake Luteni Kanali Ruzibiza kwa tuhuma za kukutwa na nyaraka za kufoji.
Muvunyi ni Mfanyabiashara tajiri anayemiliki Hoteli mbalimbali nchini humo ikiwemo Kivu Safari Lodge, iliyopo Wilaya ya Karongi, Jimbo la Kaskazini
Aliwahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Rayon Sports FC kwa vipindi viwili vya kuanzia 2005 hadi 2007 na 2017 hadi 2019.
Luteni Kanali Ruzibiza alikuwa ni Mkuu wa Brigedi Ya 307th ya Jeshi La Rwanda (RDF) Wilayani Karongi.
Kachero huyo ambaye pia no mfanyabiashara mkubwa alihusika na kufanisha pakubwa kwenye mchakato wa kumfuatilia, kumchunguza na hatimaye kukamatwa na Mfanyabiashara Asinapoli Rwigara.
Mfanyabiashara huyo mkubwa nchini Rwanda aliyetofautiana na Kagame baadaye aliuawa kikatili Februari mnamo 4, 2015.
Paulo Muvunji alitumika pia kuchafua jina la Marehemu Rwigara hata baada ya kifo chake.
Muvunyi anekamatwa pamoja na mshirika wake Luteni Kanali Ruzibiza kwa tuhuma za kukutwa na nyaraka za kufoji.
Muvunyi ni Mfanyabiashara tajiri anayemiliki Hoteli mbalimbali nchini humo ikiwemo Kivu Safari Lodge, iliyopo Wilaya ya Karongi, Jimbo la Kaskazini
Aliwahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti wa Klabu ya Rayon Sports FC kwa vipindi viwili vya kuanzia 2005 hadi 2007 na 2017 hadi 2019.
Luteni Kanali Ruzibiza alikuwa ni Mkuu wa Brigedi Ya 307th ya Jeshi La Rwanda (RDF) Wilayani Karongi.